TEC Na CCM, nani alaumiwe kuhusu maandamano?

TEC Na CCM, nani alaumiwe kuhusu maandamano?

mkulimamiwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2025
Posts
2,301
Reaction score
4,527
TEC imekuwa ikipinga utekaji ambao umekuwa ukifanywa na CCM, ila CCM yenyewe imekuwa haitaki kupingwa na yeyote kuhusu mambo hayo haramu

TEC imekuwa ikiishauri CCM kuwa, si vizuri wapinzani wakawa ni watu wa kukamatwa na kuswekwa lumande kisa wanaikosoa CCM kwa sababu kufanya hivyo ni kuleta taharuki kwa wananchi, CCM yenyewe kila ikishauriwa hivyo, basi huyo anayeishauri ataanza kuwindwa kama digidigi porini

Kati ya hao wawili, ni nani aliyekuwa akitaka Amani iendelee kuwepo?
 
TEC imekuwa ikipinga utekaji ambao umekuwa ukifanywa na CCM, ila CCM yenyewe imekuwa haitaki kupingwa na yeyote kuhusu mambo hayo haramu

TEC imekuwa ikiishauri CCM kuwa, si vizuri wapinzani wakawa ni watu wa kukamatwa na kuswekwa lumande kisa wanaikosoa CCM kwa sababu kufanya hivyo ni kuleta taharuki kwa wananchi, CCM yenyewe kila ikishauriwa hivyo, basi huyo anayeishauri ataanza kuwindwa kama digidigi porini

Kati ya hao wawili, ni nani aliyekuwa akitaka Amani iendelee kuwepo?
Maswali kama haya uwe unakaa na watoto wako ndio unauliza..
Sio Kuna hapa Kwa watu wazima
 
Back
Top Bottom