snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
itakuwa wakishajiona wanaishia kusema "ntavumilia kwa shida na raaaaha"Wanajiona sana sema tu wanakua kama wale wa madawa ya kulevyaaa hahahhhhaaa
itakuwa wakishajiona wanaishia kusema "ntavumilia kwa shida na raaaaha"Wanajiona sana sema tu wanakua kama wale wa madawa ya kulevyaaa hahahhhhaaa
afu wanakumbukaga usoni tu upate bahati umchungulie t..a..k..o !!
Yaan unakuta mtu ana rangi kumi mwilini mwake usoni rangi 5 miguu rangi 2 na ndani ya mwili nako rangi 2 sasa sijui wanaume hua wanaoa upinde wa mvuaa
Ajichambe kwanza ngozi yake ndio aje anichambeee ptyeeeeeee
wape wape makavu laivuuu.
Tatizo wanaume wanatafuta wanawake weupe haswa kule usukumani
Nmekuja fastaa nikajua mambo yetu.. Kupiga deki wengine tunamaanisha chumvini itabidi ni-edit dikshenari yangu lol!.
Teh teh sula mupya mikono ya zwamani hahahahahah nikajua kafungwa domo kumbe apiga miyayo hahahahahah qwi qwi qwi qwi hahahahah
zis is very serious ujue!Hahahahah... snowhite pliiiz nikilazwa na hizi mbavu huniletei hata uji wewe p.mb.fu dhako
Jamanii jamaniii jamanii wajameniiiiiiiiii natumaini hamjambo wote, wagonjwa poleni mtapona semenii AMINAA
Jamani kujichubua kujibadili ngozii kutoka ngozi nyeusi hadi nyeupe kunawatesa watu kisa sijui kutafuta uzurii/urembo hata sielewiiii hadi wanaume nao wanajichubuaa sijui watongozwe nao hata sielewi ndio maana wanaume wamekuwa wachache!
Nimemuona Bi Chau ngozi imekua kama tambara la dekii liliotafunwaa halafu liwe limedekiwa miaka miwili kama ushaliona hilo tambara la deki ndio ngozii ilivyo kaharibika kapaka make up sijui mapouda lakini bado usoni ana ramani ya EAST AFRIKA
Kama we ni mweusi ridhika kama ulivyo ,,kama we ni rangi ya mtume ridhika ulivyo usithubutu kujipiga dekiii mnaharibika mno mnakomaa kweli sijui hamjionii yaan na harufu ya cream mbaya mbayaa,wengi tu tunawaona mlivyoharibika na mtaona wanakuja kuchangia povu linawatokaa hilo
Kila mtu afanye anachopenda lakini badilikenii kujipiga deki ni noumaaaaaa sanaaaaaaaa
Hupendi huu uzi soma tu usikomenti.
wabhejaaaaaaaa😱😱😱😱😱😱😱