Team ya wapiga deki mpooo!

Team ya wapiga deki mpooo!

afu wanakumbukaga usoni tu upate bahati umchungulie t..a..k..o !!

Hahahaaa, wanaume wanaowavua pichu wana shidaaaa....
Ama kweli kuzaliwa mwanaume matesooo kuhangaikaaaaaa!
 
kidnap.jpg
cc snowhite & Mafikizolo
Yaan unakuta mtu ana rangi kumi mwilini mwake usoni rangi 5 miguu rangi 2 na ndani ya mwili nako rangi 2 sasa sijui wanaume hua wanaoa upinde wa mvuaa
 
Last edited by a moderator:
umeongea kweli... ngozi za waafrika ni nzuri sana sijui nani kawaloga baadhi na kubadilisha ngozi zao
 
Halafu ulivyosema wazee wa deki mm nilijua wale wa chumvin na kuleeee 0713
 
Tatizo wanaume wanatafuta wanawake weupe haswa kule usukumani
 
Hahahahah... snowhite pliiiz nikilazwa na hizi mbavu huniletei hata uji wewe p.mb.fu dhako
zis is very serious ujue!
sa we yule si unaeza zani ni haf kasti sema tu badala ya kumix atoke point 5,yeye genes zake usoni zimejiformulate nyeupe huku kwengine nyeuthi!
 
Last edited by a moderator:
Jamanii jamaniii jamanii wajameniiiiiiiiii natumaini hamjambo wote, wagonjwa poleni mtapona semenii AMINAA

Jamani kujichubua kujibadili ngozii kutoka ngozi nyeusi hadi nyeupe kunawatesa watu kisa sijui kutafuta uzurii/urembo hata sielewiiii hadi wanaume nao wanajichubuaa sijui watongozwe nao hata sielewi ndio maana wanaume wamekuwa wachache!

Nimemuona Bi Chau ngozi imekua kama tambara la dekii liliotafunwaa halafu liwe limedekiwa miaka miwili kama ushaliona hilo tambara la deki ndio ngozii ilivyo kaharibika kapaka make up sijui mapouda lakini bado usoni ana ramani ya EAST AFRIKA

Kama we ni mweusi ridhika kama ulivyo ,,kama we ni rangi ya mtume ridhika ulivyo usithubutu kujipiga dekiii mnaharibika mno mnakomaa kweli sijui hamjionii yaan na harufu ya cream mbaya mbayaa,wengi tu tunawaona mlivyoharibika na mtaona wanakuja kuchangia povu linawatokaa hilo

Kila mtu afanye anachopenda lakini badilikenii kujipiga deki ni noumaaaaaa sanaaaaaaaa
Hupendi huu uzi soma tu usikomenti.

wabhejaaaaaaaa😱😱😱😱😱😱😱

Kilichonifurahisha zaidi ni kwamba hii thread imeanzishwa na mwanamke. People do not want to be what they are. What a shame. Tukiancha hii habari kwamba wenzetu wasukuma wanapenda wanawake weupe (naamini siyo wa mkorogo) hivi kuna mtu kafanya utafiki kuona kwamba waliojikoroga wana nafasi kubwa ya kuolewa? Nafasi kubwa ya kubanjuliwa ipo lakini kwenye ndoa nina wasiwasi.

Kinacho leta kero zaidi ni wanawake ambao ni wasomi kuingia kwenye ulimbukeni (sijapata jina sahihi) huo. Hata baadhi ya viongozi wakiwemo wabunge. Hao wote pamoja na wasanii ndio wangekuwa mfano kwa wengine lakini ndio balaa. Kinyaa ni pale unakutana na dada mwenye mkorogo lakini umegoma sehemu fulani fulani. Usiombe kutia macho huko, jamaa atanywea bure!!
 
Back
Top Bottom