Kujipanga isingekuwa rahisi mbele ya pesa. Pesa haijawahi kuwa na formula. Team haikuwa na nia thabiti ya kumpeleka Lowasa Ikulu, sema na Mamvi naye alishindwa kusoma alama za nyakati. Maskini sasa kapoteza vyote: pesa, urais, "marafiki".
Uteuzi wa magofuli sio kwamba ndivyo ilipangwaHaikuwa hivyo hata kidogooo kamati kuu ilikuja na majina matano lknHuku alimashauri kuuIkimtakaa lowasa.Na lengo la kamati kuu ni kwamba membeapewee nafasi hiyoLknHuku alimashauri hawamtaki membeNdipo wajumbe wakataka majina yote 38 yawekwe mezani na alafu lipigiwe kura moja baada ya jingineeeNdipo meza kuu ikasema haiwezekaniNa halmashauri kuu ikasema na hayo majina hawayatakiWakasema hawajatenda hakiWakaenda mbali zaidi Wakasema hata waziri mkuu tano bora hayumoo. Hata makamu nae hayumooHilo likawa tatizoKuongeza majina pakawa na mvutanoPakawa na mjadala mnooMkuu akamtakaa sana membee pamoja na wale wazee wakeWajumbe hawatakiiUkumbi ukalipukaa atokeeeAtokeee atokeeeeeeBasi akatokaa kwa shinikizooMajina yakabaki manneSasa ikijaaa sifa ya kila mmoja ndipo shughuli ikawa hivyooLknKwenye nyuso zao zinatabasamuLkn moyoni hawaamini kama ndivyo ilivyooo huku wakicheki na nguvu ya upande wa piliAnyway siasa ni maajabuuSasaKuna mpyaa itakujaa soonTusubir
Hawakuwa na plan B
Na iwe fundisho kwa wengine wanaodhania kuwa Watanzania hawana watu wa kuwatetea, hongereni mliotuondolea Lowasa
Ila ingawa ni mijizi hawa watu...nawapa kapongezi kidogo maana kumkata huyu mtu haikuwa kazi rahisi hata kidogo....
At least wametupunguzia Majambazi mawili
Acha stories bana....Mke wa Magufuli alisoma na mke wa Jakaya hivi hii fact haikushtui?Uteuzi wa magofuli sio kwamba ndivyo ilipangwaHaikuwa hivyo hata kidogooo kamati kuu ilikuja na majina matano lknHuku alimashauri kuuIkimtakaa lowasa.Na lengo la kamati kuu ni kwamba membeapewee nafasi hiyoLknHuku alimashauri hawamtaki membeNdipo wajumbe wakataka majina yote 38 yawekwe mezani na alafu lipigiwe kura moja baada ya jingineeeNdipo meza kuu ikasema haiwezekaniNa halmashauri kuu ikasema na hayo majina hawayatakiWakasema hawajatenda hakiWakaenda mbali zaidi Wakasema hata waziri mkuu tano bora hayumoo. Hata makamu nae hayumooHilo likawa tatizoKuongeza majina pakawa na mvutanoPakawa na mjadala mnooMkuu akamtakaa sana membee pamoja na wale wazee wakeWajumbe hawatakiiUkumbi ukalipukaa atokeeeAtokeee atokeeeeeeBasi akatokaa kwa shinikizooMajina yakabaki manneSasa ikijaaa sifa ya kila mmoja ndipo shughuli ikawa hivyooLknKwenye nyuso zao zinatabasamuLkn moyoni hawaamini kama ndivyo ilivyooo huku wakicheki na nguvu ya upande wa piliAnyway siasa ni maajabuuSasaKuna mpyaa itakujaa soonTusubir
Ni wazi hii ndio team pekee iliyokuwa na rasilimali fedha na watu lakini ilikosa uongozi au weledi.
Hilo linaonekana mpaka sasa kwa kuwa baada ya kukatwa team hii imepagawa na kuchanganyiwa kabisa.
1-Kuna kundi limechana kadi za ccm.
2-Kuna kundi limetangulia ACT
3-Kuna kundi limebaki kimya ndani ya ccm
4-Kuna kundi limemsapoti magufuli
5-Kuna kundi linatishia kwenda CDM
6-Kuna kundi halijulikani linafanya nini
Bashe yuko kimyaa!
Kingunge yuko kimyaa!
Nchimbi,Simba na Kimbisa hatukusikia kama waliwasilisha ile rufaa yao au la.
Yale mabasi ya Team lowassa hayajulikani yalipo yaani ni full chaos.
Hii ni ishara tosha ya kutokujipanga kwa Team hii.
kwa upande wa Team membe bado ni watulivu
Acha stories bana....Mke wa Magufuli alisoma na mke wa Magufuli hivi hii fact haikushtui?
Walitaka kuchemsha kumpitisha Membe lakini ilikuja kugundulika kuwa Membe na January wametumia nguvu nyingi za Giza na wameleta lundo la vigagula Dodoma ndiyo maana wakawakata haraka .
Jamani tuache maneno na kejeli, Team Lowassa wameshindwa, tena wameshindwa vibaya. Walijipanga vizuri sana kuliko kambi yoyote ile ya wagombea CCM, Lakini kila mtu ameona nini kilichotokea, haikuwa siasa iliyowafanya washindwe, bali Zengwe Zitto, Goli la Mkono.
Mipango yote ya Team Lowassa inategemea sana mwelekeo wa Lowassa mwenyewe, kama mwenyewe yuko kimya, msitegemee kuna mtu yoyote wa Kambi yake atakuja na issue yoyote ya maana.
Mahali popote Team ikishindwa hali inakuwa kama Msiba, mambo yote yanavurugika kabisa. Jambo kama hili lilimpata pia Kikwete 1995.
Busara pekee ni kukaa kimya na kumalizia issue kimya kimya.
Litakuwa ni jambo la ajabu kabisa kama Team Lowassa hawakuwa na Plan B, hata mimi nitashangaa sana. Sometimes kukubali kushindwa nako kunaweza kuwa ni Plan.
Kushindwa kubaya sana. Poleni Team Fisadi Lowassa, hiyo ndio CCM na CCM ina wenyewe!!
Hivi timu EL hamtaingia msituni kweli? manaake wamewalostisha mmepoteza pesa nyingi jamaa wamewachezea picha la kihindi! tena ambalo halijatafsiriwa! sifurahii ila namhurumia jamaa!