Hivi IQ ya JK iko sawa?
Anajisikiaje kuitwa Dr. wakati hajasomea?
Hivi ataweza kweli kujibizana na Dr. Slaa ikitokea wakaitwa kwenye Mdaholo?
Kukubali kuitwa Dr. wakati huna hiyo Doctorate ?Na watu wanao mwita wanajua naye ni Kihiyo...kwanini akubali kuchezewa hivi?
January Makamba, hebu mshauri huyu jamaa yako , hata kama mnamtumia kukwea kwenye anga za siasa, hii imepita mpaka.
Mheshimuni basi....kwa kumshauri kwamba wanaokuita dakta wana lao jambo.....wanakufanya zuzu ili wakuibie vizuri.....
Anajisikiaje kuitwa Dr. wakati hajasomea?
Hivi ataweza kweli kujibizana na Dr. Slaa ikitokea wakaitwa kwenye Mdaholo?
Kukubali kuitwa Dr. wakati huna hiyo Doctorate ?Na watu wanao mwita wanajua naye ni Kihiyo...kwanini akubali kuchezewa hivi?
January Makamba, hebu mshauri huyu jamaa yako , hata kama mnamtumia kukwea kwenye anga za siasa, hii imepita mpaka.
Mheshimuni basi....kwa kumshauri kwamba wanaokuita dakta wana lao jambo.....wanakufanya zuzu ili wakuibie vizuri.....