TCU WANATAFUTA KIKI

Hebu tulieni huko ,mlipokimbilia kuomba daresalama mlikua mnadhani mchezo mchezo!??subirini vyuo vya tabora labda
hahahahaha

mkuu punguza bhana watapata stroke asee,

unajua wote walijaza udsm waje watizame mataa ya ubungo.

ni dhahiri sasa watapangiwa vyuo vya simiyu.
 
hahahahaha

mkuu punguza bhana watapata stroke asee,

unajua wote walijaza udsm waje watizame mataa ya ubungo.

ni dhahiri sasa watapangiwa vyuo vya simiyu.
Unaiona dsm kama Paris vile, watu wamesoma Oxford wametulia tu.
Acha ujinga ww na nakwambia haya na mm nikiwa kama mkaz DSM
 
Unaiona dsm kama Paris vile, watu wamesoma Oxford wametulia tu.
Acha ujinga ww na nakwambia haya na mm nikiwa kama mkaz DSM
mkuu vipi mbona povu?

mimi nimetoa tu mawazo yangu, samahani sana kama nimekukwaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…