Mkuu kweli ni uzushi.Lakini mimi nimepiga simu leo kupata ufafanuzi wa kukuta kozi ambayo niliibadilisha lakini inaonekana kwenye account yangu.Niliambiwa kuwa admission officer pale TCU hayupo ila yule dada aliyepokea simu nilimuuliza kama selectio imefanyika akaniambia kuwa selection ilikwishafanyika kilichobaki ni kutangaza hayo majina.