Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,221
Duh, sitati picha ndugu yangu... Maana maisha magumu
we acha nakwambia, cjui ntaish vp chuon
we acha nakwambia, cjui ntaish vp chuon
mkuu pole sana!Wana JF. Nina kijana ambaye alipata division two katika mtihani wa form six na amechaguliwa kusoma uchumi ARDHI university. Chakushanganza kijana huyu kakosa mkopo kwa comment ya "NOT A PRIORITY" wakati kozi hiyo hiyo kuna vijana wamepata mikopo. Imenibidi kutafuta matokeo yao kwenye mtandao wengi wao wana division three. Nilipofanya survey TEKU na UDOM nimekuta kozi hiyo hiyo wanamkopo. Mpaka sasa imechanganikiwa nashindwa nifanye nini kuwasaidia wazazi wa kijana huyu ikizingatiwa hawana uwezo wa kusomesha mtoto chuo kikuu. Nifanyeje?. NAOMBA USHAULI TAFAHARI
mkuu pole sana!jaribu kuongea na social welfare officer wa wilaya au mkoa uliopo akupe barua ya recommendation ili ajaribu kuapply upya.Wana JF. Nina kijana ambaye alipata division two katika mtihani wa form six na amechaguliwa kusoma uchumi ARDHI university. Chakushanganza kijana huyu kakosa mkopo kwa comment ya "NOT A PRIORITY" wakati kozi hiyo hiyo kuna vijana wamepata mikopo. Imenibidi kutafuta matokeo yao kwenye mtandao wengi wao wana division three. Nilipofanya survey TEKU na UDOM nimekuta kozi hiyo hiyo wanamkopo. Mpaka sasa imechanganikiwa nashindwa nifanye nini kuwasaidia wazazi wa kijana huyu ikizingatiwa hawana uwezo wa kusomesha mtoto chuo kikuu. Nifanyeje?. NAOMBA USHAULI TAFAHARI
Jamani nimeshindwa kuyaangalia, naomba anayetumia comp aniangalizie..mimi hapa ninatumia simu. Haiwezi kuisoma hiyo page ni kubwa mno.
Mtandao wa TCU haufunguki... unagoma... tusubiri badae
Wana JF. Nina kijana ambaye alipata division two katika mtihani wa form six na amechaguliwa kusoma uchumi ARDHI university. Chakushanganza kijana huyu kakosa mkopo kwa comment ya "NOT A PRIORITY" wakati kozi hiyo hiyo kuna vijana wamepata mikopo. Imenibidi kutafuta matokeo yao kwenye mtandao wengi wao wana division three. Nilipofanya survey TEKU na UDOM nimekuta kozi hiyo hiyo wanamkopo. Mpaka sasa imechanganikiwa nashindwa nifanye nini kuwasaidia wazazi wa kijana huyu ikizingatiwa hawana uwezo wa kusomesha mtoto chuo kikuu. Nifanyeje?. NAOMBA USHAULI TAFAHARI
hao wanafiki,achana nao mkuu!Mi kuna watu nawashangaa, sekondari f1-4 anasoma filbert bayi, f5-6 anasoma baobab, kote huko ada ni sh mil 2-3 kwa mwaka, anamaliza f6 analilia kupata mkopo.
pole sana ndugu yangu,ndo ccm yetu hyo,karibu chuo tuandamane!Jamani wengine tumesoma shule za kata o level,na advance tukaungaunga vituition nguzo ya familia(baba)alifariki muda mrefu kabla hata o level sijahitimu,sikupewa vyeti vyangu kwa muda mpaka nilipotafuta pesa kwenda kumalizia ada ili nipewe vyeti.sasa tena nimenyimwa mkopo ivi kweli wanapenda watoto wa maskini tusome kweli?je haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania?
huenda kote huko alikuwa akisaidiwa, na sasa hakuna msaadami kuna watu nawashangaa, sekondari f1-4 anasoma filbert bayi, f5-6 anasoma baobab, kote huko ada ni sh mil 2-3 kwa mwaka, anamaliza f6 analilia kupata mkopo.