kiukwel ziko dip gpa zake hazna validity kwa baadhi ya vyuo,, mfn m2 4m four alipt D 5 (Four ya 30 ) badae akasoma cert then dip, mwisho unaskia ana gpa ya 4.7 bt ukimpima unaona hmna k2, wzr asihangaike kupandisha vigezo, azidhibiti validity ya gpa, na ikiwezekana dip wote wawe na mthn wa mwisho wa nacte, km ilivo afya na dip ya ualim( wakiwa chn ya necta sio nacte).