Mwasele101
Member
- Jul 22, 2016
- 8
- 11
HAbari wanandugu wa jamii forum
Hivi anavyofanya Ndalichako ni kuua elimu ama kuinua elimu? Kwa sisi wenye diploma tunaotaka kujiunga na chuo kwa mwaka huu wa masomo wametuzungushaa weee mwsho wa siku ghafla bin vuu wanatoa sifa za muombaji awe na 3.5 GPA na average ya B+ wakati ukii convert hyo ni sawa na 1 kwa form six.
Huyu mama na wizara yake wanafanya kazi kwa hofu za kutumbuliwa na rais. Hivi fikiria mtu amemalza mwaka jana akapata qualifications za kusoma maybe akapata matatzo ya familia hakuweza kuendelea kusoma leo unataka kuomba chuo unakutana na 3.5 GPA this is not fair kwakwel jamani.
Sasa atleast wangesema mwenye GPA kuanzia 3 atasoma maana unakuta mwingine ana 3.4 ina maana chuo atakisikia redion. Sio poa kabisa, huyu mama awe makini laana za watoto wa masikini wanaopigania kutafuta elimu zitamrudia.
Kama anafanya hvyo ili kulinda mikopo abakie nayo sisi tutajisomesha wenyewe. Hivi fikiria mtu anasoma engineering ukamwambie GPA 3.5, kweli is it fair?? Sasa mtaani tunafanya issue gani?
Kama mlisema elimu haina mwisho sasahivi badilisheni semeni elimu mwisho GPA 3.5 TUTAWAELEWA. Ila kiukwel mama Ndalichako hujafanya fair tunajua watoto wenu hawapo kwenye hili janga.
Mlipokuja kuomba kura rais alisema yeye ni rais wa maskini je ndo hivi?? Haya bhana 2020 cyo mbali Tuombe uzima
Hivi anavyofanya Ndalichako ni kuua elimu ama kuinua elimu? Kwa sisi wenye diploma tunaotaka kujiunga na chuo kwa mwaka huu wa masomo wametuzungushaa weee mwsho wa siku ghafla bin vuu wanatoa sifa za muombaji awe na 3.5 GPA na average ya B+ wakati ukii convert hyo ni sawa na 1 kwa form six.
Huyu mama na wizara yake wanafanya kazi kwa hofu za kutumbuliwa na rais. Hivi fikiria mtu amemalza mwaka jana akapata qualifications za kusoma maybe akapata matatzo ya familia hakuweza kuendelea kusoma leo unataka kuomba chuo unakutana na 3.5 GPA this is not fair kwakwel jamani.
Sasa atleast wangesema mwenye GPA kuanzia 3 atasoma maana unakuta mwingine ana 3.4 ina maana chuo atakisikia redion. Sio poa kabisa, huyu mama awe makini laana za watoto wa masikini wanaopigania kutafuta elimu zitamrudia.
Kama anafanya hvyo ili kulinda mikopo abakie nayo sisi tutajisomesha wenyewe. Hivi fikiria mtu anasoma engineering ukamwambie GPA 3.5, kweli is it fair?? Sasa mtaani tunafanya issue gani?
Kama mlisema elimu haina mwisho sasahivi badilisheni semeni elimu mwisho GPA 3.5 TUTAWAELEWA. Ila kiukwel mama Ndalichako hujafanya fair tunajua watoto wenu hawapo kwenye hili janga.
Mlipokuja kuomba kura rais alisema yeye ni rais wa maskini je ndo hivi?? Haya bhana 2020 cyo mbali Tuombe uzima
