TCU mtatuua kwa presha

TCU mtatuua kwa presha

mnachekesha.
Kipindi unaomba uliona kabisa compttn from other applicants sas is nn ulijitumbukiza .
 
Kwa wanaoapply second round kama mambo hayatakuwa mazuri kuna hizi education za bachelor of science with education ikitokea kuna nafasi usipuuzie hebu chagua na usichelewe maana unaweza kujikuta unahairisha mwaka
 
Lakini pia kuna hizi course za bachelor of science in chemistry, biology, physics, mathematics and statistics na zenyewe ni nzuri ingawa kuna changamoto za hapa na pale but huwezi kukosa kitu cha kufanya after kugraduate lakini pia zinakupa uwanja mpana wa kwenda kusoma masters kwa kutimiza ndoto zako...
 
Akili yako ikiwaza tu kusoma engeneering, Md, pharmacy, nursing basi ujue hauna plan X ya kufikia malengo yako...kuna vitu vingine unaweza kusoma na ukawa na maisha hata zaidi ya hao wanaosoma hizo program baada ya kugraduate so changanua ubongo wako kabla ya kufanya maamuzi..then mkumbuke mkopo kwa mwaka huu unaweza kusumbua so hata unapochagua hizo private university basi usisahau kuwashirikisha wazazi, au walezi wako kuona kama wanaweza kuafford gharama
 
4 days remain mungu saidia sisi
 

Attachments

  • 1473323591797.jpg
    1473323591797.jpg
    35.7 KB · Views: 26
Back
Top Bottom