Kwani umeomba vyuo gani mkuu?hivi kama mtu ana DDE anaweza pata md kwa pcb au nursing,... presha sana nisaidieni nyie wapinga maendeleo![]()
Duh wenzako walichumia juani wanasubiri kulia kivulibiwenzio wenye ABB hizo presha hawana, ulikua wapi kipindi wenzio wanasoma?
EvidencrAcha shobo unajuaje kama izo alama sina kama huwez kucoment unaapita tu sio mpka kila kitu uchangie mawazo
Usujifanye kama chuo unakijua sana nyie ndo mnavijulia vtu ukubwani yan mpka uende chuo ndio uanze kupendeza duu,,,!???


alaf hawa wako weng. Labda chuo cha nyukihivi kama mtu ana DDE anaweza pata md kwa pcb au nursing,... presha sana nisaidieni nyie wapinga maendeleo![]()
we kama kilaaza utabaki kuwa kilaza tuAcha shobo unajuaje kama izo alama sina kama huwez kucoment unaapita tu sio mpka kila kitu uchangie mawazo
wenzio wenye ABB hizo presha hawana, ulikua wapi kipindi wenzio wanasoma?

we bwana mdogo acha kubishana na wazazi wako kuwa na adabuUsujifanye kama chuo unakijua sana nyie ndo mnavijulia vtu ukubwani yan mpka uende chuo ndio uanze kupendeza duu,,,!???
Pole..I can sense how you feel.Acha shobo unajuaje kama izo alama sina kama huwez kucoment unaapita tu sio mpka kila kitu uchangie mawazo
Mnapenda bata ...Labda chuo cha nyuki
alaf hawa wako weng.
Wakifka chuon wanakua micharuko.
Na kusahau kilichowapeleka.
we kama kilaaza utabaki kuwa ****** tu
Mmhh!! hatari kweliwenzio wenye ABB hizo presha hawana, ulikua wapi kipindi wenzio wanasoma?
Ebu waambie presha nying alaf wameomba bachelor's of art in music







Unapata mkuu KIU , ST. JOSEPH,hivi kama mtu ana DDE anaweza pata md kwa pcb au nursing,... presha sana nisaidieni nyie wapinga maendeleo![]()