jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,902
Oya kwa anae fungua web ya TCU ikafunguka aniambie hapa kuna taarifa gani mpya maana kwangu hata kufunguka inagoma
Haifunguki aseOya kwa anae fungua web ya TCU ikafunguka aniambie hapa kuna taarifa gani mpya maana kwangu hata kufunguka inagoma


Watu wanashangaa si nenepi, pressure kama hizi... from matokeo to application hadi selection jamani.... for sure roho yangu juu...yatoke tu... sipati usingizi


