Hakuna ulazima wa kila mtu kupata liweke akilini hilo.Uskwame kijana kila mtu lazma apate uwez kosa
Sio kizembe ivo,,wangeweka notice kwenye web yaoTupo kwenye maombolezo ya waliokufa kwa tetemeko la ardhi kwaio hatutaoa leo posts za vyuo vikuu until further notice
haka kamchezo ni hatariMi cjalala vzur wiki nzima na jana ndo kabisaa nimeamua kuwa mlinzi mwenyew coz sikuwa na usingiz kabisa ama kweli tcu noma
hahaha unaangalia yako tyuuuHivi hakuna aliyekopi hiyo orodha ya selection apesti hapa?
umenena vyema show ilikua zaid ya hiiHakuna ulazima wa kila mtu kupata liweke akilini hilo.
Kama hukufanya chaguzi zako kwa usahihi unaweza kwenda na maji hata mwaka jana sio wote walioomba walipata
Kitu gani?asee ata mm nimeiandikiwa iyo kitu sijui ndo nshatemwa au ndo mtandao unazingua....
bado nimeambiwa not found hapo janaMkuu bado hujabahatika nini??
not foundKitu gani?
na ww umekuta ivo nn mkuuStudent not found inatuchanganya sana
asante sana maneno.km aya kidogo yanatoa hamasa...ushwiiiiiiiiiiiiitulieni madogo, selection zipo na mtapata nafasi zenu tu. wala msihahe!!