mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,910
- 18,558
Hivi hakuna aliyekopi hiyo orodha ya selection apesti hapa?
Mi cjalala vzur wiki nzima na jana ndo kabisaa nimeamua kuwa mlinzi mwenyew coz sikuwa na usingiz kabisa ama kweli tcu noma
Subiri na beat la heslb ndo utalala juu ya paa la nyumbaMi cjalala vzur wiki nzima na jana ndo kabisaa nimeamua kuwa mlinzi mwenyew coz sikuwa na usingiz kabisa ama kweli tcu noma
Subiri na beat la heslb ndo utalala juu ya paa la nyumba
Mkuu bado hujabahatika nini??daaaaaaaaah serikali mbovu watatoaje majina kidogo tu ivi udsm ndiyo wamemaliza kutoa
Wana tabia mbaya! Walilenga kuongeza pressure kwa watu! Inavyoelekeà hawatatoa leo kwa kisingizio cha sikukuu, wakati jana pia ilikuwa jumapili lakini wakaamua kuwarusha watu roho!

heslb ndo nouma aseeSubiri na beat la heslb ndo utalala juu ya paa la nyumba
itakaa poa 2 tuwaitStudent not found inatuchanganya sana
Uskwame kijana kila mtu lazma apate uwez kosaasee ata mm nimeiandikiwa iyo kitu sijui ndo nshatemwa au ndo mtandao unazingua....
Uskwame kijana kila mtu lazma apate uwez kosaasee ata mm nimeiandikiwa iyo kitu sijui ndo nshatemwa au ndo mtandao unazingua....
asee ata mm nimeiandikiwa iyo kitu sijui ndo nshatemwa au ndo mtandao unazingua....
Kwani wakitoa si yanakuwepo tu?? Au ukichelewa kuangalia wanakuondolea selection yako??Mi cjalala vzur wiki nzima na jana ndo kabisaa nimeamua kuwa mlinzi mwenyew coz sikuwa na usingiz kabisa ama kweli tcu noma
ilikuwa unasearch kwa kutumia details ulizonazo za muombaji mmoja so haingewezekana kuchukua list yoteHivi hakuna aliyekopi hiyo orodha ya selection apesti hapa?
ngoja tusubiri inshalah...Uskwame kijana kila mtu lazma apate uwez kosa