eboguti0014
New Member
- Aug 10, 2012
- 2
- 0
Nashindwa kuelewa taasisi zinazoanzishwa Tanzania kwetu hapa sijui huwa tunapata wapi ushauri maana more often than not zinakuwa zina disadvantages kibao kuliko hata advantages. Kama kwa hali ilivyo kwa sasa sioni hata msaada unaotolewa na hawa TCU kama chuo kama UDSM inaweza kurelease matokeo yake kabla ya official announcement ya TCU yenyewe si bora wanafunzi wangeachwa wawe wanaapply direct kwenye vyuo??