TCU: Hii imekaaje..!?

TCU: Hii imekaaje..!?

Keyboard_Warrior

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
6,101
Reaction score
10,455
First round watu wamekosa nafasi katika vyuo walivyoomba...
Hao waliokosa nafasi first round wakapewa nafasi ya kufanya tena application round ya pili...
Lakini leo hii vyuo vinatoa majina ya second batch, zile programz ambazo zilijaa mpaka kupelekea watu kukosa nafasi round ya kwanza kuna watu wamechaguliwa, tena wengi tu..!
Swali: Hao watu waliochaguliwa second round katika programz ambazo zilijaa first round wametokea wapi..!?
Pia,vyuo vinatoa majina ya watu waliochaguliwa second round lakini applicants wakiingia katika accounts zao TCU wanaambiwa SYSTEM imefungwa na mchakato wa kuwapangia vyuo bado unaendelea...
Hii imekaaje TCU..!?
Mimi si MUATHIRIKA katika haya, lakini haya MAPUNGUFU yamenishangaza kidogo..!!!
 
First round watu wamekosa nafasi katika vyuo walivyoomba...
Hao waliokosa nafasi first round wakapewa nafasi ya kufanya tena application round ya pili...
Lakini leo hii vyuo vinatoa majina ya second batch, zile programz ambazo zilijaa mpaka kupelekea watu kukosa nafasi round ya kwanza kuna watu wamechaguliwa, tena wengi tu..!
Swali: Hao watu waliochaguliwa second round katika programz ambazo zilijaa first round wametokea wapi..!?
Pia,vyuo vinatoa majina ya watu waliochaguliwa second round lakini applicants wakiingia katika accounts zao TCU wanaambiwa SYSTEM imefungwa na mchakato wa kuwapangia vyuo bado unaendelea...
Hii imekaaje TCU..!?
Mimi si MUATHIRIKA katika haya, lakini haya MAPUNGUFU yamenishangaza kidogo..!!!
Kwel Mkuu hujakosea yan udsm wameniacha first round na two yang ya kumi. Alaf leo hii naangalia second batch et mijitu yenye three imechaguliwa.
Na wakat naomba second round ivo ivo vyuo havikuwepo kwenye list. Et leo hii watu wamechaguliwa second batch
 
Duhhhhh nilijua n mm peek angu ndo nimeachwa japo Nina 2 yangu ya 11. Cha ajabu sasa,, mtu Mara ya kwanza kakoswa Chuo kaomba second na udzm akuijaza Mara ya pili lkn kachaguliwa apo apo .sasa tcu izo c ndo nafas za wengne jaman .
 
Kwel Mkuu hujakosea yan udsm wameniacha first round na two yang ya kumi. Alaf leo hii naangalia second batch et mijitu yenye three imechaguliwa.
Na wakat naomba second round ivo ivo vyuo havikuwepo kwenye list. Et leo hii watu wamechaguliwa second batch
Kuna watu watakuja kukushambulia...
Lakini hii haijakaa sawa..!
Wamewapotezea watu muda, kama sio kuwaharibia maisha kabisa..!
 
Kuna watu watakuja kukushambulia...
Lakini hii haijakaa sawa..!
Wamewapotezea watu muda kama sio kuwaharibia maisha kabisa..!
Ndio Mkuu ila walichofanya sio ishu kabsa.
Ndoto zangu zote n kuchukua degree yang kwanza pale wamenivunja
 
Kwel Mkuu hujakosea yan udsm wameniacha first round na two yang ya kumi. Alaf leo hii naangalia second batch et mijitu yenye three imechaguliwa.
Na wakat naomba second round ivo ivo vyuo havikuwepo kwenye list. Et leo hii watu wamechaguliwa second batch
UDSM hawachagui Division yako, sijui 1,2 hapana. Wanachagua mwanafunzi yeyote aliyefaulu.
So kuna wenye division one kibao wameachwa wakachukuliwa wenye division three
 
UDSM hawachagui Division yako, sijui 1,2 hapana. Wanachagua mwanafunzi yeyote aliyefaulu.
So kuna wenye division one kibao wameachwa wakachukuliwa wenye division three
Na ndio maana tunasema hawako sawa..!
Pia wenye shida hapo si UDSM bali ni TCU..!
 
UDSM hawachagui Division yako, sijui 1,2 hapana. Wanachagua mwanafunzi yeyote aliyefaulu.
So kuna wenye division one kibao wameachwa wakachukuliwa wenye division three
Kwan vigezo vya kuchaguliwa university kubwa Kama ile n vp?
 
Jaman hatima ya profile za aplicant wa second round ztaandkwaje? Maana had saiz system clossed ila majina vyuon yameanza kutoka kwann wastoetaarifa kwa profile ili kuwaelewesha ambao hawajapata vyuo wajue kipi kinaendea kama sellected au not sellecte mtu unaconcetrate kutafta majina huku hauna uhakika kama umepangiwa chuo huo ni uhuni,ufusika,ukiritimba,utapeli na ukuku plus umbuzi na hapa serikal ya magu inatakiwa kuwa nakin la sivyo tutapoteza thaman ya taifa la tz!
 
Na ndio maana tunasema hawako sawa..!
Pia wenye shida hapo si UDSM bali ni TCU..!
Sijakuelewa bado!
Hawapo sawa kwasababu wanachagua mtu yeyote tu aliyefaulu kwenda UDSM.... Au hawapo sawa kwasababu gani hasa?

Kwani ni lazima mtu achaguliwe UDSM? Na nani alisema UDSM wanaenda waliopata division 1 na 2 pekee?

Vyuo vipo vingi na vyote wanachulua mtu yeyote ilimradi amekidhi vigezo yaani amefaulu.
Ndio maana yeyote anayefaulu anaenda popote.
 
Kwel Mkuu hujakosea yan udsm wameniacha first round na two yang ya kumi. Alaf leo hii naangalia second batch et mijitu yenye three imechaguliwa.
Na wakat naomba second round ivo ivo vyuo havikuwepo kwenye list. Et leo hii watu wamechaguliwa second batch
Kupata two au one sio sababu ya kuchaguliwa first round
 
First round watu wamekosa nafasi katika vyuo walivyoomba...
Hao waliokosa nafasi first round wakapewa nafasi ya kufanya tena application round ya pili...
Lakini leo hii vyuo vinatoa majina ya second batch, zile programz ambazo zilijaa mpaka kupelekea watu kukosa nafasi round ya kwanza kuna watu wamechaguliwa, tena wengi tu..!
Swali: Hao watu waliochaguliwa second round katika programz ambazo zilijaa first round wametokea wapi..!?
Pia,vyuo vinatoa majina ya watu waliochaguliwa second round lakini applicants wakiingia katika accounts zao TCU wanaambiwa SYSTEM imefungwa na mchakato wa kuwapangia vyuo bado unaendelea...
Hii imekaaje TCU..!?
Mimi si MUATHIRIKA katika haya, lakini haya MAPUNGUFU yamenishangaza kidogo..!!!
Ni kweli hayo ni mapungufu, TCU hawajazingatia ratiba za vyuoni ipasavyo, walitakiwa majibu ya second round yatoke kwanza ili watu wajue kama kutakuwa na Third round au laaa.Sasa ucheleweshwaji huo unawapelekea vyuo kutoa selection zilizokuwa tayari TCU kwa kuzingatia ratiba zao na kutoa nafasi kwa wanafunzi na wazazi kujiandaa ipasavyo. Don't lose hope ndugu, all the best
 
Back
Top Bottom