Nitajaribu kukueleza kwa ufupi kwa kadri ya uwezo wangu.
Kwanza kabisa pima matokeo yako binafsi na wengine, jaribu kufuatilia matokeo kwa mwaka huo yapoje(ninabase Kwa form six),kama ni sayansi au arts angalia matokeo mengine pia,Chunguza ufaulu kwa shule bora zaidi, za Kati na chini, ili upate jua wewe upo katika nafasi gani(base sana kwenye masomo unayo chukua (kama sayansi ni sayansi na kama arts ni arts) lakini angalia arts yako ipoje au sayansi yako ipoje kwa programme za chuo unazoweza chagua