TCU: Hii imekaaje..!?

TCU: Hii imekaaje..!?

Jaman hatima ya profile za aplicant wa second round ztaandkwaje? Maana had saiz system clossed ila majina vyuon yameanza kutoka kwann wastoetaarifa kwa profile ili kuwaelewesha ambao hawajapata vyuo wajue kipi kinaendea kama sellected au not sellecte mtu unaconcetrate kutafta majina huku hauna uhakika kama umepangiwa chuo huo ni uhuni,ufusika,ukiritimba,utapeli na ukuku plus umbuzi na hapa serikal ya magu inatakiwa kuwa nakin la sivyo tutapoteza thaman ya taifa la tz!

Una matatizo. Kama mwanafunzi mwenyewe ndiyo wa hivi ndiyo maana hawakukuchagua
 
Una matatizo. Kama mwanafunzi mwenyewe ndiyo wa hivi ndiyo maana hawakukuchagua
Sio yeye mkuu...
Kijana AMEPAGAWA..!
Jaribu KUVAA viatu vyake utaelewa na maanisha nini..!
 
Kwel Mkuu hujakosea yan udsm wameniacha first round na two yang ya kumi. Alaf leo hii naangalia second batch et mijitu yenye three imechaguliwa.
Na wakat naomba second round ivo ivo vyuo havikuwepo kwenye list. Et leo hii watu wamechaguliwa second batch
Kwa hyo ukiwazidi wenzio tu unaanza dharau? So waliopata 3 wamekuwa mijitu . Wewe cku ukipata ukubwa utanyanyasa sana watu
 
Back
Top Bottom