Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
nimeweka ikusaidie wewe mkuu!Ahsante sana mkuu, vip wew ulisha apply?
Nenda pm kuna ujumbe wakoAhsante sana mkuu, vip wew ulisha apply?
Lakini ni approved ila baadaye vinaweza kuongezekaKcmc hakipo,udsm hakuna md,bugando hakuna bmls,KIU hakipo,ajuco hakipo..Hawa wadogo zetu wakasome wapi course za afya??
Sent using Jamii Forums mobile app
Last year walitoa guide book tofauti kwa watu wenye Equivalent Qualifications. Sasa sijui this time around.Naomba kuuliza vipi kwa watu wa diploma maana hii imeandikwa kwa form six and RPL only!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kasome web ya TCU tayari wameshatoa guide book kwa wale wa dipolomaJaman naomba kuuliza hii guidebook inasema ni kwa form six and RPL only vipi kwa watu wa diploma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka huu hata usome kozi ya chakula utapewa mkopohebu toeni ufafanuzi zaidi
kozi zipi zimepewa kipaumbele kwa kupata mkopo
Diploma unapitia nacte ndo siku zote ilivyo mkuuJaman naomba kuuliza hii guidebook inasema ni kwa form six and RPL only vipi kwa watu wa diploma?
Sent using Jamii Forums mobile app
UDSM md haipoKcmc hakipo,udsm hakuna md,bugando hakuna bmls,KIU hakipo,ajuco hakipo..Hawa wadogo zetu wakasome wapi course za afya??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona volume ya kitabu imekuwa finyu kulinganisha na huko nyuma? vyuo vingi vimefutwaAngalia na chagua kozi inayoendana na vigezo na uwezo wako!