TCU....even simple english is difficult for you!!!.....

Sawa kabisa, but shows how careless you are!!!!!! Academician institution like TCU ought to proof read whatever it writes/types. You can not escape blame!
wewe mwenyewe kiingereza hujui halafu unajifanya kuponda, tena basi unaandika kwa kiingereza na kwa kujiamini sijui ulifikiri utaonekana una akili kumbe unajichoresha, ona sasa hueleweki si ungeandika kiswahili tu.. yaani hata hujui matumizi ya alama ya kuuliza? Kweli nchi yetu safari bado ni ndefu!
 
wewe mwenyewe kiingereza hujui halafu unajifanya kuponda, tena basi unaandika kwa kiingereza na kwa kujiamini sijui ulifikiri utaonekana una akili kumbe unajichoresha, ona sasa hueleweki si ungeandika kiswahili tu.. yaani hata hujui matumizi ya alama ya kuuliza? Kweli nchi yetu safari bado ni ndefu!

Hahahaaa kumbe na wewe umeona eeh? Yaani vichekesho mtupu.

Jamaa hata tofauti ya adjective na noun pamoja na matumizi yake, haijui.
 
wewe mwenyewe kiingereza hujui halafu unajifanya kuponda, tena basi unaandika kwa kiingereza na kwa kujiamini sijui ulifikiri utaonekana una akili kumbe unajichoresha, ona sasa hueleweki si ungeandika kiswahili tu.. yaani hata hujui matumizi ya alama ya kuuliza? Kweli nchi yetu safari bado ni ndefu!

Nadhani wewe uko TCU, alama za kuuliza ziko wapi? inabidi ziwekwe wapi? I insist, you can not escape blame of incompetence! You need to proof read whatever you write particularly when it is done by your juniors!!!
 
Acha kuzidi kuchemka wewe ni "An academic Insitution" na si vinginevyo! Hivi kweli na unapata hata nguvu za kubishana?, mtu usiyejua hata ni wapi pa kuweka alama ya kuuliza?

Wala siachi, sidhani wewe ulivyoandika "Insitution" hapo juu uko sahihi. Yale yale!!!! This means what! hujui kiingereza? au umepitiwa. With TCU, that was and is still a silly mistake!!! hakuna slip of fingers, ni kosa ambalo if I were your boss, I will fire you outright!!! Muulize yaliyompata aliyekuwa afisa habari TFF!!! Ni kosa ambalo hakuweza kusamehewa, so obvious!
 
Wala siachi, sidhani wewe ulivyoandika "Insitution" hapo juu uko sahihi. Yale yale!!!! This means what! hujui kiingereza? au umepitiwa. With TCU, that was and is still a silly mistake!!! hakuna slip of fingers, ni kosa ambalo if I were your boss, I will fire you outright!!! Muulize yaliyompata aliyekuwa afisa habari TFF!!! Ni kosa ambalo hakuweza kusamehewa, so obvious!

You still have a lot to learn about the mechanics of grammar and syntax.
 
You still have a lot to learn about the mechanics of grammar and syntax.

Mimi siyo "nguin" -penguin- nimesoma pure science and therefore mambo ya lugha nayaelewa kwa kiwango kinachotosha kwa mawasiliano. Hizo deep rules za language ni zako na wa aina yako and I don't need them at all!!! If I am to write an English article to be presented at an international forum, I will employ some body conversant with mechanics of syntax and grammar -to quote you-to proof read for me
 
watu kazi yenu kulaumu mtafikiri mna pepo la kulaumu,
nimewahi soma site nyingi na hayo ni makosa ya kawaida we dogo,

Kosa hilo nikubwa sana na wasilione muda wote huo. Inaonyesha uzembe wa aina fulani wa hali ya juu. Sio kulaumu, mara nyingi tunakosea sana humu jamvini tunapo-post articles zetu, lakini no body bothers kama ulivyosema ni kosa la kawaida!!! Sasa wewe ona bado kuna tangazo linalosema kuwa application deadline ni tarehe 4/7/2012. Kama wanajali kazi yao kwa nini wasilibadilishe!!!
 
Kosa hilo nikubwa sana na wasilione muda wote huo. Inaonyesha uzembe wa aina fulani wa hali ya juu. Sio kulaumu, mara nyingi tunakosea sana humu jamvini tunapo-post articles zetu, lakini no body bothers kama ulivyosema ni kosa la kawaida!!! Sasa wewe ona bado kuna tangazo linalosema kuwa application deadline ni tarehe 4/7/2012. Kama wanajali kazi yao kwa nini wasilibadilishe!!!

Nobody, not "no body".
 
Nobody, not "no body".

Hili kosa la no body purely is slip of fingers! Lakini sio la TCU. I know no body should be a single word-nobody, kama nilivyosema humu jamvini tunakosea sana na sina haja ya ku-proof read post za humu maana there is no need of doing so as long as the message is hammered home!! kama wewe ulivyokosea insitution-najua hii ni haraka na sio kuwa hujui kiingereza!!
 
Acha kuzidi kuchemka wewe ni "An academic Insitution" na si vinginevyo! Hivi kweli na unapata hata nguvu za kubishana?, mtu usiyejua hata ni wapi pa kuweka alama ya kuuliza?

Wala siachi, sidhani wewe ulivyoandika "Insitution" hapo juu uko sahihi. Yale yale!!!! This means what! hujui kiingereza? au umepitiwa. With TCU, that was and is still a silly mistake!!! hakuna slip of fingers, ni kosa ambalo if I were your boss, I will fire you outright!!! Muulize yaliyompata aliyekuwa afisa habari TFF!!! Ni kosa ambalo hakuweza kusamehewa, so obvious!

Hili kosa la no body purely is slip of fingers! Lakini sio la TCU. I know no body should be a single word-nobody, kama nilivyosema humu jamvini tunakosea sana na sina haja ya ku-proof read post za humu maana there is no need of doing so as long as the message is hammered home!! kama wewe ulivyokosea insitution-najua hii ni haraka na sio kuwa hujui kiingereza!!

Una uhakika ni mimi ndiye niliyeandika 'insitution' au wewe ndiye unayekosea kwa kuchanganya madesa? Hebu rudi nyuma kidogo urudie kusoma vizuri.
 
Una uhakika ni mimi ndiye niliyeandika 'insitution' au wewe ndiye uliyokosea kwa kuchanganya madesa? Hebu rudi nyuma kidogo urudie kusoma vizuri.

Anyway, naona unawateta sana TCU, nadhani unafanya kazi humo! Nakushauri, if you are an employee of TCU with managerial position, please before posting anything on your website, make sure you read and read and read again and again what you have assigned your Juniors to do! Nice to converse with you. Wish you an enjoyable evening!
 
Anyway, naona unawateta sana TCU, nadhani unafanya kazi humo! Nakushauri, if you are an employee of TCU with managerial position, please before posting anything on your website, make sure you read and read and read again and again what you have assigned your Juniors to do! Nice to converse with you. Wish you an enjoyable evening!

Kwanza, sijui hata hiyo TCU ni nini. Sijui walipo na sijawahi kushughulika nao kwa jambo lolote lile

Pili, siwatetei. Wewe umewakosoa na katika hilo ukatenda makosa yako mwenyewe ya kisarufi na sintaksi.

Basi ndiyo nami nikakukosoa wewe. Au wewe hupendi kukosolewa na unapenda tu kukosoa wengine?
 
attachment.php

sasa Weclome na Sytem ndo nn???


Hii ni kosa dogo tu kwa mtu aliyekua anatengeneza "codes" za hiyo site, ni kitu kinaweza rekebishwa kwa haraka tu na hilo si kosa la kumuhukumu mtu au taasisi nzima...makosa huwa yapo ili tujirekebishe hata mashine huwa haziwi sahihi kwa 100%
 
Kwanza, sijui hata hiyo TCU ni nini. Sijui walipo na sijawahi kushughulika nao kwa jambo lolote lile

Pili, siwatetei. Wewe umewakosoa na katika hilo ukatenda makosa yako mwenyewe ya kisarufi na sintaksi.

Basi ndiyo nami nikakukosoa wewe. Au wewe hupendi kukosolewa na unapenda tu kukosoa wengine?

Ninachosema kosa lao ni kubwa sio la kufumbiwa macho. Unapost kitu kinaonekana duniani kote worse still from an accredited institution, haya ya jamvini ni madogo, normally, we don't take time to check spelling even grammar mistakes and actually ukikosea spelling/grammar kuna self checking ya computer- spelling- red and green ni grammar.
 
Kuna wengine welcome huandika well come au wellcome. Hii ya weclome. Haaaaan haaaah! Vilaza@work.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom