Sio Kweli.Mfumo uliotengenezwa whatsapp baada ya facebook kuinunua unafanya isiwezekane kudukuliwa..
Watu wanadhani kuweka app ya kuona mesej za mtu kwenye simu yake ndiyo kudukua,..
Yani hata iweje hakuna mtu yeyote duniani ataona meseji zako na mtu unaechat nae bila kuishika simu yako..
Sent using Jamii Forums mobile app