Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Tunapata matangazo mengi sana ya Kamari kwenye simu ilihali wengine dini zetu haziruhusu. Hata kama dini hairuhusu bado wengine tunaona kero kwetu.
Kuna matangazo ambayo unaweza kublock Number husika na hilo tangazo hutoliona tena. Kuna mengine hayana option ya kublock sender.
Tunaomba haya matangazo yote ya na option ya kublock sender. Nimeshajaribu option ya kutuma sms yenye neno "STOP" Lakini hola.
Hasa hilo Tangazo la Moja spesho ni kabisa sitakagi kuliona!!
Kuna Jingine unapata massage eti "SIMU YAKO INAUWEZO WA KUPOKES 800,000?" huu ni utoto na kutuona sisi ni wajinga.
Hivi mawaziri wanapataga hizi massage za Moja spesho kweli?
Tafadhali TCRA angalieni hilo.
Kuna matangazo ambayo unaweza kublock Number husika na hilo tangazo hutoliona tena. Kuna mengine hayana option ya kublock sender.
Tunaomba haya matangazo yote ya na option ya kublock sender. Nimeshajaribu option ya kutuma sms yenye neno "STOP" Lakini hola.
Hasa hilo Tangazo la Moja spesho ni kabisa sitakagi kuliona!!
Kuna Jingine unapata massage eti "SIMU YAKO INAUWEZO WA KUPOKES 800,000?" huu ni utoto na kutuona sisi ni wajinga.
Hivi mawaziri wanapataga hizi massage za Moja spesho kweli?
Tafadhali TCRA angalieni hilo.