TCRA anzisheni huduma ya Do Not Disturb (DND) kwenye Simu

tutafikatu

JF-Expert Member
Dec 17, 2011
3,244
4,469
Hata kama mimi ni mteja wa kampuni fulani ya simu, kampuni hiyo haina haki ya kunipa tangazo lake la biashara kwa sauti au maneno (sms) bila ridhaa yangu. Ni muhimu kuwe na option ya kuchagua kupokea matangazo ya biashara ya simu au la, hii ni pamoja na offer za kampuni za simu.

Kuna wakati wapiga simu ya muhimu, mara wasikia tangazo refu, halafu mwisho unaambiwa namba unayopiga haipatikani. Kuna wakati unapigiwa simu na namba usiyoijua, mara wasikia tangazo la offer za simu. Pia kuna sms za kuibia watu kama umechaguliwa kujishindia million 100.

TCRA tazameni hilo.
 
tiGO mnanivunjia ndoa yangu



Laini yangu ya tiGO imekuwa na tabia ya ajabu... Kila nikitumiwa SMS zinajirudia.



Mfano:

Juzi nilitumiwa SMS hadi leo zinaingia.... Kila saa SMS hiyo hiyo inajirudia.


Imekuwa ni tabia ya SMS moja kujirudia zaidi hata ya mara 30 au zaidi... Ni usumbufu pia inahatarisha amani ya ndoa yangu.


SMS ya Mchepuko toka juzi inaingia tu.
 
Wanayupotezea mida kwa mambo ya kitoto,kwamfano kuna namba inaanza na 90...... kwa kampuni ya tiGo eti pata rafiki,wanini marafiki wanaokujua wakiwa na michango ya harusi tu,.
unapata msg eti chagua wimbo wa ALMAS, MI WA NINI?
HAYO MAMBO MUANGALIE NA UMRI KTK USAJILI MUWAPE WANAFUNZI
 
Mmmmm....mteja wa TIGO.
ULITEGEMEA NINI KUTOKA KWA JOTI???UPUUZI MTUPU...ZE KOMEDI!
Matangazo ya tigo ni upuuzi tu!
 
tiGO mnanivunjia ndoa yangu



Laini yangu ya tiGO imekuwa na tabia ya ajabu... Kila nikitumiwa SMS zinajirudia.



Mfano:

Juzi nilitumiwa SMS hadi leo zinaingia.... Kila saa SMS hiyo hiyo inajirudia.


Imekuwa ni tabia ya SMS moja kujirudia zaidi hata ya mara 30 au zaidi... Ni usumbufu pia inahatarisha amani ya ndoa yangu.


SMS ya Mchepuko toka juzi inaingia tu.
Mkuu sio ww tu yan had muda huu napoandika hapa msg kibao zinajirudia mara nyingi tu yan msg moja inajirudia kama mar tano hv alaf hyo ni kwa mtu mmoja yan watu wanne wakinitumia cm ni vurugu mech piga 4x5 alaf lingine nikituma msg kwa mtu wa vod inaweza kufika hata kesho wakat mtu huyo lain yake ipo hewan yan shida jaman
 
Mkuu sio ww tu yan had muda huu napoandika hapa msg kibao zinajirudia mara nyingi tu yan msg moja inajirudia kama mar tano hv alaf hyo ni kwa mtu mmoja yan watu wanne wakinitumia cm ni vurugu mech piga 4x5 alaf lingine nikituma msg kwa mtu wa vod inaweza kufika hata kesho wakat mtu huyo lain yake ipo hewan yan shida jaman


Hata mimi naweza kutuma SMS leo zikafika kesho.


Ila linalonikera zaidi ni hili la SMS kujirudia rudia ...
 
Back
Top Bottom