simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Google translate ni rafiki.Usiogope.Tutafsirie Sisi tusioijua hii Lugha Ndugu.
Google translate ni rafiki.Usiogope.Tutafsirie Sisi tusioijua hii Lugha Ndugu.
Ndugulile anaumwa nini. Mimi ninachojua ni mwanaume mwanaharakati asiyejua anachopigania. Kule kwao Kigamboni kuna mipango ya hovyo sana ya mji huo. Mara wanataka kutengeneza eneo la gereji, mara mji wa Kisasa, mara kila kitu gani sijui.... Lakini hakuna kinachokamilika. Leo kapewa TEHAMA kila siku mitandaoni kumbe anakula bingo la vifurushi. Aondoke tu mimi sitaki hata kumsikia.
Google translate ni rafiki.Usiogope.
Ndungulile hakuna waziri pale hata huko kigambon alipambana na mtu ambaye watanzania wana kisasi nae Bashite vinginevyo alikua hatoboi
sijaelewa yaaani umeniita mimi mpuuzi?Sasa kama huna Unyonge ( siyo Mnyonge ) katika Uzi wetu huu Wanyonge unafanya nini? Kuna Watu ni Wapuuzi mno hapa Jamvini.
Naomba nitajie code ya kujiunga na bundles za Voda. Nina line yao ili sijui service code
Dah.Mimi nimenunua GB1 Airtel Tsh 5,000/=
Mbaya zaidi sheria yao mpya ya kuduanzi inatamka kwamba any changes za kifurushi once made will be changed after three months.Hawawezi kutoa haraka hivyo.
Tamko linatoka warudishe vifurushi vya zamani wakati zile terms walizokubaliana hawajakaa mezani tena kuzitengua
Siasa bwana
Kama kweli ni hivi, bando langu likiisha nagoma kwa kutonunua lingine mpaka wabadilishe..Mbaya zaidi sheria yao mpya ya kuduanzi inatamka kwamba any changes za kifurushi once made will be changed after three months.
Hata haijulikani, wananchi wamelalamika bei zilikuwa kubwa,badala ya kushusha wamepandisha.Kwani chanzo cha kupandisha bei za vifurushi ni nini?
1.) Je, wamepandishiwa kodi?
2.) Thamani ya shillingi imeshuka?
3.) Gharama za uendeshaji (mishahara nk.) zimepanda?
Mambo ya ajabu haya, kuna namnaHata haijulikani, wananchi wamelalamika bei zilikuwa kubwa,badala ya kushusha wamepandisha.
Mpaka sasa bado bei mpya zinaendelea. Kapuuzwa???Mambo ya ajabu haya, kuna namna