Mmekuwa mkitutaarifu kutoa taarifa kwenu kila tunapopokea message za utapeli kupitia namba yenu 15040.
Nimekuwa nikiwatumia namba hizo za utapeli nami kuweka kumbukumbu.
Tarehe 11 Apr 2025 nililipoti namba 0615656151 kuhusika na utapeli, cha ajabu Leo tena namba hiyo hiyo 0615656151 bado iko hewani imenitumia message tena ya kitapeli. Nauliza inakuaje bado iyo namba bado inaendelea kuliza watu?
Nimekuwa nikiwatumia namba hizo za utapeli nami kuweka kumbukumbu.
Tarehe 11 Apr 2025 nililipoti namba 0615656151 kuhusika na utapeli, cha ajabu Leo tena namba hiyo hiyo 0615656151 bado iko hewani imenitumia message tena ya kitapeli. Nauliza inakuaje bado iyo namba bado inaendelea kuliza watu?