TCRA mmepata faida gani kuifungia JamiiForums? Acheni kuwa na maamuzi ya mihemuko

TCRA mmepata faida gani kuifungia JamiiForums? Acheni kuwa na maamuzi ya mihemuko

Kauli ya mwisho ya huyu alisema
"Maxence melo toa ushirikiano"
Ilikuwa baada ya ofisi za jf kuvamiwa. Na baada ya hapo hayakupita masaa 72 tcra wakatoa tangazo la kuifungia JF

1765132288643.jpeg
 
Kauli ya mwisho ya huyu alisema
"Maxence melo toa ushirikiano"
Ilikuwa baada ya ofisi za jf kuvamiwa. Na baada ya hapo hayakupita masaa 72 tcra wakatoa tangazo la kuifungia JF

View attachment 3512772
Futa hii picha mkuu takulipa, nachafukwa sana, simpendi huyu jamaa basi TU Sina Cha kufanya mtu ambae hashtuki kuona damu zikimwagika kiasi kile sio wa kumchekea, namchukia sana basi TU, unavumilia TU huyu jamaa anapenda umungu mtu eti hata akija kwenye jambo lako lolote anataka kumsema mama kwa nguvu ujikataa anakureport ni mtu wa ajabu sana huyu
 
Kauli ya mwisho ya huyu alisema
"Maxence melo toa ushirikiano"
Ilikuwa baada ya ofisi za jf kuvamiwa. Na baada ya hapo hayakupita masaa 72 tcra wakatoa tangazo la kuifungia JF

View attachment 3512772
Inashangaza sana kuacha machawa wa hawa watu wanatamba humu huku bwana zao wameifungia.
Ingekuwa mimi ni Melo piga umeme wote mkapost kwenye mitandao ya bwana zenu. Watu wenyewe hawana hata faida humu zaidi ya uchawa tu
 
Bonge wa Zimbabwe mwenyewe alipost picha akiwa na Mama.

Rostam alikiri kununua mgodi wa makaa ya mawe.

Tulitumia Vpn na tukawa tunaingia bila tatizo Jamii forum.

Vpn ni salama zaidi kuliko hata hivi mlivyofungua.
Wanaogopa vivuli vyao wenyewe. Wajinga
 
Wamo humu tuwatag, tuwagonge nyundo mpaka watupige ban tena?
 
Bonge wa Zimbabwe mwenyewe alipost picha akiwa na Mama.

Rostam alikiri kununua mgodi wa makaa ya mawe.

Tulitumia Vpn na tukawa tunaingia bila tatizo Jamii forum.

Vpn ni salama zaidi kuliko hata hivi mlivyofungua.

Msigwa huyo. Hawa jamaa wenye elimu za kuungaunga nibtatizo kwa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom