TCRA mko wapi mbona Ting wanaleta uhuni!!!

TCRA mko wapi mbona Ting wanaleta uhuni!!!

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,618
Reaction score
13,880
kulingana na sheria ambayo inawalazimisha hawa wenye makampuni yanayotoa huduma ya ving'amuzi hususani(TING)ni kwamba utakapolipia yale malipo ya mwezi ambayo ni elfu kumi,utaona local chaneli zote zilizo kwenye package yao(tbc1,itv,chanel ten,star tv, Atn,na clouds tv)na nyingine za nje.Sasa cha ajabu ukiacha kulipa hayo malipo ya mwezi,sheria inasema wao watakuwa na haki ya kusitisha we kuona zile chanel za kulipia kama sentanta afrika,cnn,muv tv nk.sasa wao wanakata hata Atn na clouds tv!hazo huwezi kuona hadi ulipie!achilia mbali aljazeera,press tv japo nazo ni ft(flee 2 air)nazo wanazifunga!na juzi kwenye kipindi cha malumbano ya hoja itv,walisisitiza kuwa chaneli zote ambazo ni FT,ziwe zinapatikana muda wote,wao watakukatia zile ambazo ni za kulipia 2,sasa toka lini Atn,na clouds tv zimekuwa za kulipia,wakati kwa wakazi wa dar wanazipata kwa kutumia antena za kadawa?na majuzi niliwapigia simu hawa tcra,kulalamikia hili suala,cha ajabu nao wanashangaa kama ni kweli wanafanya hivyo!mi ndio huduma nayoitumia,baadaye wakasema ngoja walifuatilie kama ni kweli eti nao hawa jui!Huu mfumo wameudandia 2 bila maandalizi ya kutosha,na nyie ngojeni ifike hiyo dec 31,patakuwa hapatoshi,itakuwa mvulugano tu.hata haya makampuni bado hawajajiandaa,mf. Hawa TING,unalipia cku 30,lakini unaweza kuona ikiwa imetulia labda siku 15!cku nyingine zote signal weak,na hapa ni maeneo ya dar!wito wangu kwa ambaye hajajiingiza huko bora asubiri ili ushindani wa haya makampuni uongezeke,na huduma wataboresha,ili mtu uwe na chaguo zuri.
 
WWZD, huo utaratibu unaanza 01/01/13!.
Huwezi kuuliza TCRA mko wapi as if hao TCRA ni clients hivyo they are watching every home!.

TCRA sio wateja bali wao ni regulators, hayo makampuni pia sio wateja, hayo ni service providers, mteja ni wewe!.

Ili TCRA iwashughulikie hao Ting, wewe mteja lazima ulalamike kwa TCRA kwa kujaza complaints form na kui submit TCRA, na sio kulalamikia hapa Jf!.

Labda kama una malalamiko dhidi ya Ikulu au unamalalamiko dhidi ya JK au TISS ukiyaweka humu, yatafika!
 
Hilo tatizo la TING alilolisema White Wizard hata mimi ninalo tena kwangu linahusiana na ubora wa Sauti kwenye Decorder yao aina ya AAL 2 ambayo niliinunua ili kurekodi lakini ni bomu tuu! Nimesha kwenda TING makao makuu mara nyingi na wameshindwa kabisa kutatua tatizo langu mpaka sasa na ushahidi mzito ninao. Naomba minielekeze huo TCRA ili niende nikajaze hiyo fomu na kutoa kilio changu...
 
WWZD, huo utaratibu unaanza 01/01/13!.
Huwezi kuuliza TCRA mko wapi as if hao TCRA ni clients hivyo they are watching every home!.

TCRA sio wateja bali wao ni regulators, hayo makampuni pia sio wateja, hayo ni service providers, mteja ni wewe!.

Ili TCRA iwashughulikie hao Ting, wewe mteja lazima ulalamike kwa TCRA kwa kujaza complaints form na kui submit TCRA, na sio kulalamikia hapa Jf!.

Labda kama una malalamiko dhidi ya Ikulu au unamalalamiko dhidi ya JK au TISS ukiyaweka humu, yatafika!

Mkuu majibu mengine yanashangaza kidogo, kwani wizard kakosea nini? Mimi naona hatua alizo chukua ni sahihi kabisa, kwanza amefanya jambo la maana kutujuza sisi wana JF, pili kuwapigia simu TCRA ni sawa alitaka hilo swala lijulikane mapema zaidi hizo complaints form zinaweza kufatia baadae. Siyo tabia nzuri kuwafanya binadamu wenzako kama majuha hivi! Kwanza ukisoma alichoandika humu unaona kabisa huyu jamaa ni mweledi katika mambo ya mawasiliano siyo kwamba amekurupuka tu.
 
mie walishanikera siku nyingi sana yani king'amuzi full michosho kila saa picha zinaganda, sometimes channel zingine hazioneshi kabisa siku nzima then kesho yake unaona zinaonekana du we acha tu! waliponimaliza ni ule utaratibu kuwa eti usipolipia mwezi mmoja au hata miwili halafu baadae ukataka kulipia eti ni lazima ulipie yote na ile ya nyuma wakati walikufungia pia ni lazima uende makao makuu ndo watakufungulia sasa check location yao ya makao makuu ilipo!!!
 
Digitale bado sana kwa tz hawajajipanga,Startimes kama haujalipia unapata TBC1 tu!
 
wote mmekurupuka kwa kununua ving'amuzi vya terrestrial. Na hi ndio shida ya wa2 wa mijini hasa dar mnadhani digital ni kwisha kwa ma2mizi ya sattelite dishes.mmesahau kuwa dstv(digital sattelite tv) ambayo ni digital ina2mia ungo. Mytv, zuku, toptv, skysport,aljazeera, ad sport
etc ni digital. Nilisha wahi kuwambia mnunue decoder yenye ungo ya ting ambayo ni multiporpuse.wenzenu ha2pati kero za signal mnazopata na hata ziki2kea 2taendelea kupata matangazo kupitia sat zingine.so muwe tayari kulala kwenye vitanda mlivyovitengeneza wenyewe.
 
wote mmekurupuka kwa kununua ving'amuzi vya terrestrial. Na hi ndio shida ya wa2 wa mijini hasa dar mnadhani digital ni kwisha kwa ma2mizi ya sattelite dishes.mmesahau kuwa dstv(digital sattelite tv) ambayo ni digital ina2mia ungo. Mytv, zuku, toptv, skysport,aljazeera, ad sport
etc ni digital. Nilisha wahi kuwambia mnunue decoder yenye ungo ya ting ambayo ni multiporpuse.wenzenu ha2pati kero za signal mnazopata na hata ziki2kea 2taendelea kupata matangazo kupitia sat zingine.so muwe tayari kulala kwenye vitanda mlivyovitengeneza wenyewe.

Star Times hao ndiyo wana shida kubwa mno maana hata ukiingiza vocha bado unaweza kutumia muda mrefu bila kuona kitu na wakati mwingine inakuwa ni kero maana unakuta unaangalia yenyewe inasonya tu hata raha ya kitumia inakuwa hakuna.
La kushangaza zaidi ukiwapigia simu wanakuambia kuwa wanashughulikia wateja wengine na hii inawe za kupita zaidi ya saa nzima.

Kwa kweli TCRA wanapaswa kuhakikisha kuwa watumiaji hatuumizwi na haya makampuni.
 
POLE ZENU, CHAKUWASHAURI NUNUA DISH FUTI 8 TUNDIKA C BAND PALE KATI (kupata local chnl) pembeni IzUNGUSHIE ma KU BAND, HAHAHAAA UTAONA RAHA hizo PRESSTV, emmanuel tv , MuviTV Nollywood na filam za nigeria 24/7 hata ukiamua UZIANGALIE HADI UCHOKE NA UGALAGALE CHINI sound clear picha clear. Ndo nnayotumia hata cna shida ya hizo vitu na still nipo ktk Digital
 
Back
Top Bottom