kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,185
- 24,564
dooooh kumbe aiseeLocal channels zilikuwa hazikatwi kwa sababu serikali ilikuwa inalipia lakini JPM kakataa hayo malipo so kama kuna king'amuzi bado kinaonyesha free hizo channel basi hiyo ni bahati tu