TCRA inapokea mlungula toka Star Times?

TCRA inapokea mlungula toka Star Times?

Local channels zilikuwa hazikatwi kwa sababu serikali ilikuwa inalipia lakini JPM kakataa hayo malipo so kama kuna king'amuzi bado kinaonyesha free hizo channel basi hiyo ni bahati tu
dooooh kumbe aisee
 
Back
Top Bottom