TCRA imeshindwa kuwadhibiti matapeli wa mitandao? Au wanakula nao?

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,487
2,344
Walipoleta utaratibu wa kusajiri kwa alama za vidole walituambia ni kwasababu ya kudhibiti matapeli, ila kadri siku zinavyoendelea ndivyo wanavyoongezeka.

Je, mfumo ulikuwa wa upigaji umeshindwa kuwadhibiti? Au TCRA wanashirikiana na hawa wapigaji? Je, kwanini wasiweke utaratibu rahisi kabisa wa kuzirepoti hizi namba?

Au kwanini kusiwe na call centre ya kureport hizi namba? Yaani upige simu wazame kwenye sms zako wajiridhishe wapige ban, mbona kama ni rahisi tu, wanafeli wapi?
 
Walipoleta utaratibu wa kusajiri kwa alama za vidole walituambia ni kwasababu ya kudhibiti matapeli, ila kadri siku zinavyoendelea ndivyo wanavyoongezeka.

Je, mfumo ulikuwa wa upigaji umeshindwa kuwadhibiti? Au TCRA wanashirikiana na hawa wapigaji? Je, kwanini wasiweke utaratibu rahisi kabisa wa kuzirepoti hizi namba?

Au kwanini kusiwe na call centre ya kureport hizi namba? Yaani upige simu wazame kwenye sms zako wajiridhishe wapige ban, mbona kama ni rahisi tu, wanafeli wapi?
Jizi lingine hili hapa.
Screenshot_2024-01-22-06-39-07-43.png
 
sasa matapeli wenyewe ni akina Michael scofield, Alex Mahon, ,Tommy Shelby, professor au Jason Stathum unadhani TCRA itawaweza ?
Hahaha wenyewe wanaita code, kuna majemba huko majuu wanabuni aina ya upigaji (code) kisha inauzwa kwa wadau wa nchi wanachama
 
Hata makampuni ya simu nayo ni majizi tu! Mteja kakosea kutuma fedha , unayajulisha yanakwambia pesa imeishatolewa!

Sasa hapo si ni wateja wao wawili hakikisha mwenye haki yake anapata. Makampuni ya simu yanajua kuna wakala mahususi wanaotumikq kutoa pesa karibu zote za wizi

Tcra na no yao ya 1540 ukitaka kujua ni usanii ukiwatumia wanajibu tutumie no iliyokutumia! Kisha utasoma tayari tumeisha wajulisha so what!
 
Hata makampuni ya simu nayo ni majizi tu! Mteja kakosea kutuma fedha , unayajulisha yanakwambia pesa imeishatolewa!

Sasa hapo si ni wateja wao wawili hakikisha mwenye haki yake anapata. Makampuni ya simu yanajua kuna wakala mahususi wanaotumikq kutoa pesa karibu zote za wizi

Tcra na no yao ya 1540 ukitaka kujua ni usanii ukiwatumia wanajibu tutumie no iliyokutumia! Kisha utasoma tayari tumeisha wajulisha so what!
Ndio maana tuna amini wanashirikiana
 
TCRA huwa inajali sana masirahi yake binafsi na sio mtumiaji wa wasiliano ni kivuli tu wapo macho kwenye kukusanya tozo haijalishi umeibiwa au umeiba muhimu hapo tozo tu hata ukinunua mavi kwa simu watakata tozo yao yani wapo kimasirahi binafsi hakuna haki na wanaona matukio ya wizi mtandaoni kila siku ili mradi tu wamepata tozo yao why wakitukanwa viongozi wa nchi au pesa ziibiwe zinazo husika na nchi itajulikana mpaka namba ya mwisho kupokea hela na wanafanikiwa kuwakamata wahusika ndani ya muda mfupi shida yao kujali masirahi binafsi tu.
 
Back
Top Bottom