TBT

TBT

Wapendwa habari zenu.

Leo nimeona niwaletee vi story vyangu na vitakuwa vinapatikana humu kwa mtindo wa picha za zamani na matukio yake.....

1. story namba moja

Hapo chini nakumbuka ilikuwa event moja miaka hiyo!!!!

Mimi nilibahatika kupata kazi nikiwa mdogo sana huku sina uzoefu wa aina yoyote siku hizi mnaita fresh from school. na kiukweli nikitaja hiyo nafasi ni ndogo sana lakini majukumu yake ni makubwa.

Nakumbuka sijui kilitokea nn lakini kwenye ile nafasi tukawa wawili, mwenzangu ni mzoefu mimi sijui lolote kuhusu ile kazi.

Bwana ee!!! nakumbuka baada ya kuanza kazi wikiend iliyofuatia kukawa na event!!!! ilikuwa kuchangia sijui maendeleo ya nini mi nilishasahau.

Dada nikaupura jifanyia service kama picha hapo chini inavyosema
.
Ukafika muda wa michango jamaaniii!!!!!!
Mi badala ya kuwa naandika jina na amount au ahadi niko bize kushangaa matajiri maana wengi wao sikuwa nawafahamu wala kuwajua,, mishangazi niliyoikuta ofisini ikawa inanionyesha tu unamuona fulani? unamjua yule...

Ghafra ile iliisha usiku sana basi boss wangu akatuma dereva kuniuliza kama naenda nyumbani aunaendelea kushereheka maana walikuwa wameandaa na sehemu ya ku party. niliamua kuondoka

Jumatatu ikafika na mrejesho wa ile ghafra ulikuwa unatakiwa

Bwana bwana yule mwenzangu (utamuona kwenye picha hapo anaenifuatia baada ya mimi kwenye mstari wa chakula)
Akaingia kwa mikwara huku anajigamba kaandaa ripoti na hapo si alikuwa anajigamba kwa sababu anajua sijui kitu. yaani sisi wanawake pepo tutaisikia motoni!!!!

Boss wetu akafika baada ya muda kidogo simu tukaitwa mmoja mmoja,,,, mwenzangu akawathirisha ripoti yake.
Mi naitwa sina hili wala lile nikafika nikakaa nikwambia ndio boss!!! ripoti iko wapi??? full confidence nikamjibu sikuandika sina!!!!! akaniangaliaaa akatabasamu akaniambia next time kuwa makini.

Narudi ofisini kila mtu ananiuliza vp?? mie hakuna kitu boss anasemaje na mie sijui???
Bi dada alinuna sana kuanzia siku hiyo akaanza kunichukia na kunisema vibaya. nilisemwa mimi sikuwa napumua mule ndani.

Kupitia kwa yule dada kuwa ananisema vibaya nilianza na mimi kujifunza kazi kwa nguvu..
Hasa walionisadia sana ni vijana wa kiume tuliokuwa nao pale!!!! nilipambana mpka kikaeleweka na mimi nikajua kazi na taratibu zote za pale.

Baada ya miezi Sita yule dada alihamishwa kazi akapelekwa sehemu nyingine.

Nikakabidhiwa ofisi na mimi rasmi nikakalia kiti katika nafasi niliyokuwa nayo.

Tukutane wiki ijayo.

BN; Hizo picha ni miaka 18 iliopita na kwa sasa ni bibi mmoja hivi waja hamkawii kuanza kuropoka.
Toto la kisukuma, nawish uje uwe mama mkwe wangu.

Wadada huwa hawapatani MDA wote NI washindani
 
1. story namba moja
Mkuu,
Kwema?
Huwa kuna namna kwenye baadhi ya simulizi wanaweka link za episodes zote ukurasa wa kwanza, msomaji akigusa tu anafika kwenye tukio. Ikiwezekana kufanya hivyo itakuwa vizuri.

Labda Moderator, Active wanaweza kusaidia kwenye hilo. Otherwise kuchambua hizi pages zilivyo nyingi tutakesha humu!
 
Mkuu,
Kwema?
Huwa kuna namna kwenye baadhi ya simulizi wanaweka link za episodes zote ukurasa wa kwanza, msomaji akigusa tu anafika kwenye tukio. Ikiwezekana kufanya hivyo itakuwa vizuri.

Labda Moderator, Active wanaweza kusaidia kwenye hilo. Otherwise kuchambua hizi pages zilivyo nyingi tutakesha humu!

wakikusikia watafanya hivyo.
 
Nimefanikiwa kuisoma yote in silent mode

Kuna mahali nimesoma, huku mnala wa babeli ukiwa umesimama hivyo kujikuta na kumbukumbu za mwaka 47 🤭

Hakuna moment tunainjoi kwa bed Wanaume kama kukutana na mwanamke fundi

Wala simshangai huyo mzee mwenzangu kukupatia viwanja na kukujengea mjengo

Bahati mbaya nipo na Wajukuu zangu humu, naweza kutoa ushuhuda hapa kisha wakapita kwenda kumsimulia bibi yao nyumbani nikajikuta naanza kuteswa na baridi peke yangu bure huku bibi yao akiniacha katika Uzee huu 🤪
 
Nimefanikiwa kuisoma yote in silent mode
Kuna mahali nimesoma, huku mnala wa babeli ukiwa umesimama hivyo kujikuta na kumbukumbu za mwaka 47 🤭

Hakuna moment tunainjoi kwa bed Wanaume kama kukutana na mwanamke fundi

Wala simshangai huyo mzee mwenzangu kukupatia viwanja na kukujengea mjengo

Bahati mbaya nipo na Wajukuu zangu humu, naweza kutoa ushuhuda hapa kisha wakapita kwenda kumsimulia bibi yao nyumbani nikajikuta naanza kuteswa na baridi peke yangu bure huku bibi yao akiniacha katika Uzee huu 🤪

Hahaha ha!!!
umbea wa wa jukuu unatukosesha mambo mazuri.

unaweza kusimulia kwa code .
Halafu wewe sio mzee nilikuona selfika bado unafaa kwa matumizi 😂 😂
 
Hahaha ha!!!
umbea wa wa jukuu unatukosesha mambo mazuri.

unaweza kusimulia kwa code .
Hahaha............nilitaka kusema hayo uliyofanyiwa na huyo Mzee Kijana, niliwahi kuyafanya japo sio kwa kiwango kikubwa kwa mabinti wawili mwaka 47

Kuna mwingine wa tatu nilitaka kumfanyia miaka 5 iliyopita, isingekuwa vijana wangu wakubwa kuingilia kati, nilitaka kumkabidhi yule mrembo kadi ya Benki iliyokuwa na fedha zangu za pension 🙌
Halafu wewe sio mzee nilikuona selfika bado unafaa kwa matumizi 😂 😂
Mimi nimekula chumvi nyingi ujue 🤪
 
Hahaha............nilitaka kusema hayo uliyofanyiwa na huyo Mzee Kijana, niliwahi kuyafanya japo sio kwa kiwango kikubwa kwa mabinti wawili mwaka 47

Kuna mwingine wa tatu nilitaka kumfanyia miaka 5 iliyopita, isingekuwa vijana wangu wakubwa kuingilia kati, nilitaka kumkabidhi yule mrembo kadi ya Benki iliyokuwa na fedha zangu za pension 🙌

Mimi nimekula chumvi nyingi ujue 🤪

Heshima kwenu wazee wa zamani mlijua kuhonga!!!!!

umri wako wewe nahisi tunalingana
 
Heshima kwenu wazee wa zamani mlijua kuhonga!!!!!

umri wako wewe nahisi tunalingana
Ukitaka kula mema ya Nchi na mabinti warembo, ni lazima uwe mwepesi kufungua pochi, na kwenye hilo eneo Wazee hatuwazagi sana 🤭

Kwenye umri naweza kuwa nimekupita parefu, Ile picha ya selfika ni ya mwaka 47 ujue 🤪

Otherwise, tukapimane umri Selous National park, muhimu unibebee dawa zangu za Presha tu 🤭 🏃 🏃
 
Back
Top Bottom