TBT

Humu JF kuna huyu leo dada na binti kiziwi yani hawa toka mwanzo hua nakua makini sana nikiwaquote,japo mimi ni mtu wa jokes sometimes najisahau,ila hawa Wadada wawili hua nahisi ni wadada wenye heshima zao,

Simaanishi kua wadada wengine hawana heshima zao ila automatic tu hua nahisi hawa wadada nahitaji kuwaheshimu zaidi ya kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…