hapo umemaanisha tabiri au Subiri...Jamani tubiri huko mbele.
Picha ya sasa hivi ntaweka episode ya mwisho
Nisaidie kuwa tag wapendwa humu
Endelea bs kuandika Arosto ni kali au umechoka kama vipi nikupigie unisimulie muendelezo mimi ntafanya short summary then nikufowadie uupandishe jukwaani 😊Tusubiri,, sorry
leo dada nimeona unazungumzia mambo ya shirki unataka kuuaminisha umma wa watu kwamba uchawi upo?
OkUchawi ni Imani binafsi ya mtu ambayo mimi siwezi kuwaaminisha watu humu ndani.
Hii ni story msomaji ataamuwa mwenyewe aamini nini au apotezee.
Lengo hapa na enjoy maisha yangu na wanajukwaa.
Wajukuu walianza Yao nikatoa kuepuka aibu za uzeeni