Chunga Sana
Senior Member
- Feb 3, 2015
- 117
- 88
Wote wako hivyoTatizo la mwisho ni bangi sana
Haha mwisho chizi yule ...ana ukawaida gani !? Nakumbuka alikuwaga na XL lake basi ilikuwaga ni vurugu tupu mitaa ya graveyard (rose garden)Wote wako hivyo
Ana kaka yake mmja anaitwa isambi yeye ndy chzi.....
Mwisho mbn mtu wa kawaida sana
Ova
Mwisho namuonaga mtu wa kawaida tuHaha mwisho chizi yule ...ana ukawaida gani !? Nakumbuka alikuwaga na XL lake basi ilikuwaga ni vurugu tupu mitaa ya graveyard (rose garden)
Hahaa basi huyo itakuwa sio mzima kabisaMwisho namuonaga mtu wa kawaida tu
Isambi ndy syo mzima
Ova
Mbona sura ya anaejiremba haijakaa sawa kuliko hasiejiremba ingawaje sina uhakika kwa huyo mwanaume.
Tatizo la mwisho ni bangi sana
Huwenda nikweli haikuletei madhara... au ikawa inakuletea madhara .ila kwakuwa tayari imesha kuathiri ki-psychology inakuwa ni nadra kwako kutambua kuwa umeathirikaBangi sio tatizo mkuu na halijawah kuwa tatizo. Sema tatizo ni kichwa cha mtu mwenyewe mwaka wa 10 natumia haijawahi niletea madhara wa athari yeyote
Bangi sio tatizo mkuu na halijawah kuwa tatizo. Sema tatizo ni kichwa cha mtu mwenyewe mwaka wa 10 natumia haijawahi niletea madhara wa athari yeyote
Ukiwa chizi hujijui, we unajiona uko sawa kumbe chini umemix kandambili bluu na njano.
Wewe mvutaji hauwezi kuona madhara yake... sisi wa pembeni ndio tunayaona!Bangi sio tatizo mkuu na halijawah kuwa tatizo. Sema tatizo ni kichwa cha mtu mwenyewe mwaka wa 10 natumia haijawahi niletea madhara wa athari yeyote
Mbona hapa unaongea kama kichaa mkuu. Nakushauri ukamuone mtaalamu wa matatizo ya akili haraka sana kabla mambo hayaja haribika zaidi mkuu😆😆. Maana unasomeka kabisa kuwa haupo sawa kabisa.Niko sawa na nina akili timamu na naheshimika na jamii inayonizunguka kweny mambo ya muhimu yahusishao jamii inayonizunguka
😂😂 Isambe ni jirani angu,Wote wako hivyo
Ana kaka yake mmja anaitwa isambi yeye ndy chzi.....
Mwisho mbn mtu wa kawaida sana
Ova
Wee jamaaa bhana .......,mlevi hawezi kuona madhara ya ulevi wake.Umeshawahi kujipa homework ya kuuliza wale unaoishi nao?Kama si wanafiki watakueleza jinsi mitazamo na mwenendo wako ulivyo wa hovyo.Bangi sio tatizo mkuu na halijawah kuwa tatizo. Sema tatizo ni kichwa cha mtu mwenyewe mwaka wa 10 natumia haijawahi niletea madhara wa athari yeyote
Hali ya Mwisho ni mbaya,kachoka balaa Limebaki jina tu ,binti ake alihamishwa kutoka private school to government,siku aliyo report shuleni wanafunzi na walimu walikuwa like "Wewe ni mtt wa Mwisho!!😔 imekuaje umekuja kusoma st Kayumba,?" mtoto alikuwa anajisikia vby aisee!!Haha mwisho chizi yule ...ana ukawaida gani !? Nakumbuka alikuwaga na XL lake basi ilikuwaga ni vurugu tupu mitaa ya graveyard (rose garden)
Hali ya Mwisho ni mbaya,kachoka balaa Limebaki jina tu ,binti ake alihamishwa kutoka private school to government,siku aliyo report shuleni wanafunzi na walimu walikuwa like "Wewe ni mtt wa Mwisho!!imekuaje umekuja kusoma st Kayumba,?" mtoto alikuwa anajisikia vby aisee!!
Mwisho hata simu ya kitochi hana,ukitaka kumpata unamtafuta jirani ndio ampelekee Mwisho simu.
Ila kaka ake (Isambe) ndio balaa kbs
Unaitumiaje mkuu? FafanuaBangi sio tatizo mkuu na halijawah kuwa tatizo. Sema tatizo ni kichwa cha mtu mwenyewe mwaka wa 10 natumia haijawahi niletea madhara wa athari yeyote