TBT: Mwisho Mwampamba and Seven Mosha

TBT: Mwisho Mwampamba and Seven Mosha

Ha ha hawa jamaa ni wehu kuna jamaa yangu mmoja anaitwa zinga (alikuwa mtoto wa meya kobelo) aliwatapeli kwa kuuza nyumba yao, huyo isambe alimtafuta wakamshushia kipigo heavy jamaa akachoropoka karuka fensi ya miiba wiki nzima alikuwa anatoa miiba mwilini
 
Hali ya Mwisho ni mbaya,kachoka balaa Limebaki jina tu ,binti ake alihamishwa kutoka private school to government,siku aliyo report shuleni wanafunzi na walimu walikuwa like "Wewe ni mtt wa Mwisho!! imekuaje umekuja kusoma st Kayumba,?" mtoto alikuwa anajisikia vby aisee!!

Mwisho hata simu ya kitochi hana,ukitaka kumpata unamtafuta jirani ndio ampelekee Mwisho simu.
Ila kaka ake (Isambe) ndio balaa kbs
Mwisho yupo Arusha huko anazurura kwenye Ma bar tu ,Mara ya Mwisho namuona ilikuwa maeneo fulani kama unaenda Ngaramtoni kwenye ki bar kwa demu mmoja anaitwa Becky
 
Hali ya Mwisho ni mbaya,kachoka balaa Limebaki jina tu ,binti ake alihamishwa kutoka private school to government,siku aliyo report shuleni wanafunzi na walimu walikuwa like "Wewe ni mtt wa Mwisho!! imekuaje umekuja kusoma st Kayumba,?" mtoto alikuwa anajisikia vby aisee!!

Mwisho hata simu ya kitochi hana,ukitaka kumpata unamtafuta jirani ndio ampelekee Mwisho simu.
Ila kaka ake (Isambe) ndio balaa kbs
Huyo mtoto alizaa na nani?

Hivi mwisho kashindwa kutafuta hata vibarua?

Mama ake yule mzungu yuko hai bado mkuu?
 
Ha ha hawa jamaa ni wehu kuna jamaa yangu mmoja anaitwa zinga (alikuwa mtoto wa meya kobelo) aliwatapeli kwa kuuza nyumba yao, huyo isambe alimtafuta wakamshushia kipigo heavy jamaa akachoropoka karuka fensi ya miiba wiki nzima alikuwa anatoa miiba mwilini
Zinga namfahamu aisee,hahahaa si wa pale karibu na sabasaba?
 
Huyo mtoto alizaa na nani?

Hivi mwisho kashindwa kutafuta hata vibarua?

Mama ake yule mzungu yuko hai bado mkuu?
Huyo mtt alizaa na dada flani( ), na ni binti mkubwa yuko form 1.
Mam yake mzungu yupo na huwa anakujaga sana bongo kuwasalimia watoto,Pia kuna dada yao ambae yeye ndio yuko vzr financial anaishi Nje ya nchi na mama yao
 
Mwisho yupo Arusha huko anazurura kwenye Ma bar tu ,Mara ya Mwisho namuona ilikuwa maeneo fulani kama unaenda Ngaramtoni kwenye ki bar kwa demu mmoja anaitwa Becky
Mmh '' lakini huyo Hamas miaka mi-3, iliyopita si -alikuja na project ya tv show ilikuwa inaonyeshwa TV1,.. ilikuwaje tena akabuma !?
 
ndio ana mwanamke wa Zambia,Ila ni muda sana haendagi huko Zambia,yupo tu tupigana nae vikumbo Morogoro,akienda mbali sana ,Mbeya au Dar..
Wewe morogoro umekwenda lini... ume shaanza chai na wewe !?
 
na mimi nahis
Duuuh!...itakuwa Zambia hamna ishu
na mm nahisi hivyo..lkn ishu nyngn ni kuwa baada ya Mwisho kuachana na mke wake wa kwanza,alimuoa Mzambia na Mtalaka wake nae akaolewa,
Mke wa pili (Mzambia) hakua tyr kulea mtt wa Mwisho.Na Mwisho anampenda sana binti ake ,hii ilichangia wao kuvurugana

Na mume wa mtalaka wa Mwisho nae hakuwa tyr kulea mtt wa mwanaume mwenzie,.Ilibidi mtoto apelekwe Mbeya kwa babu yake ambapo huyo babu alikuwaga Prof SUA ila by that time aikuwa anakula pension,Babu nae akafariki ,mjukuuu akarudishwa Morogoro.
 
Mmh '' lakini huyo Hamas miaka mi-3, iliyopita si -alikuja na project ya tv show ilikuwa inaonyeshwa TV1,.. ilikuwaje tena akabuma !?
Jama ni mtu Pombe......

Kipindi kilikua poa na wazamin wakutosha sema jamaa akishalipwa ela anapotea anywe mpaka ziishe, simu apokei wakat anatakiwa atengeneze kipindo ndo ikawa shida mchongo ukafa.......

Isambi ni mtu poa, anachakarika ila tungi mpaka majogo..... Mzee wa nax huyu!
 
Wee jamaaa bhana .......,mlevi hawezi kuona madhara ya ulevi wake.Umeshawahi kujipa homework ya kuuliza wale unaoishi nao?Kama si wanafiki watakueleza jinsi mitazamo na mwenendo wako ulivyo wa hovyo.
Si kweli, athari unaziona

Mimi nilikua nakunywa pombe nikajiona navyopoteana nikaacha
 
Jama ni mtu Pombe......

Kipindi kilikua poa na wazamin wakutosha sema jamaa akishalipwa ela anapotea anywe mpaka ziishe, simu apokei wakat anatakiwa atengeneze kipindo ndo ikawa shida mchongo ukafa.......

Isambi ni mtu poa, anachakarika ila tungi mpaka majogo..... Mzee wa nax huyu!
Duh --- kweli samaki mkunje ........
 
  • Thanks
Reactions: Oxx
Back
Top Bottom