TBT: Mwisho Mwampamba and Seven Mosha

TBT: Mwisho Mwampamba and Seven Mosha

na mimi nahis

na mm nahisi hivyo..lkn ishu nyngn ni kuwa baada ya Mwisho kuachana na mke wake wa kwanza,alimuoa Mzambia na Mtalaka wake nae akaolewa,
Mke wa pili (Mzambia) hakua tyr kulea mtt wa Mwisho.Na Mwisho anampenda sana binti ake ,hii ilichangia wao kuvurugana

Na mume wa mtalaka wa Mwisho nae hakuwa tyr kulea mtt wa mwanaume mwenzie,.Ilibidi mtoto apelekwe Mbeya kwa babu yake ambapo huyo babu alikuwaga Prof SUA ila by that time aikuwa anakula pension,Babu nae akafariki ,mjukuuu akarudishwa Morogoro.
Dah
 
Mmh '' lakini huyo Hamas miaka mi-3, iliyopita si -alikuja na project ya tv show ilikuwa inaonyeshwa TV1,.. ilikuwaje tena akabuma !?
Mkuu hayo siyajui ,Nachojua tu nilimkuta anazurura kwenye ma bar Arusha
 
Bangi sio tatizo mkuu na halijawah kuwa tatizo. Sema tatizo ni kichwa cha mtu mwenyewe mwaka wa 10 natumia haijawahi niletea madhara wa athari yeyote
Naanza kufuatilia michango yako humu ili nijihakikishie.
 
Bangi sio tatizo mkuu na halijawah kuwa tatizo. Sema tatizo ni kichwa cha mtu mwenyewe mwaka wa 10 natumia haijawahi niletea madhara wa athari yeyote
Ni kweli.kila kitu inategemea kichwa cha mtu.Ata kwenye pombe ni hivyo hivyo,kina ambao wakipiga bia 2 tu wanachizika wakat wengine zinashuka bapa zakutosha.Kila kitu kina madhara ila inategemeana na matumizi husika.
 
Ni kweli.kila kitu inategemea kichwa cha mtu.Ata kwenye pombe ni hivyo hivyo,kina ambao wakipiga bia 2 tu wanachizika wakat wengine zinashuka bapa zakutosha.Kila kitu kina madhara ila inategemeana na matumizi husika.
Kitu huwa najiuliza unawazaje kuishi bila kunywa nilijaribu kuacha kama wiki 2 hivi nilishake sana niliambulia msongo wa mawazo na kufuga ndevu na manywele hata wife alikiri kama hunywi haupendezi na unaknekana unamawazo...ikiabidi niendeleze libeneneke iyo siku nilikuwa na kiu ya ajabu.
 
Back
Top Bottom