ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,781
- 36,009
Pombe feki mtaani imekuwa jambo la kawaida sana siku hizi
Yaani unaweza kupata chupa ya Hennessy na box yake Kwa elfu 40, hii inakuwa na ladha Ile Ile ni ngumu Kwa mtu wa kawaida kuzitofautisha
Jack Daniels fake ni nyingi mno na zinauzwa elf 30 wakati kawaida hii pombe inauzwa 150k
Mtanganyika akaikuta ipo cheap anachukua tu
Kwasasa usijidanganye kuingia bar na kuagiza pombe za nje na za gharama, maana hapa Nina uhakika 💯 utapewa copy yake, na utaifurahia ila baada ya miaka kadhaa figo zinaanza kufeli
Wale mademu wanaomba zawadi za Hennessy, wahuni huwa wanawaketea copy na mlivo wajinga mnashangila
Empty za hizi pombe Huwa ziatafutwa na zinauzwa ili kwenda kujazwa pombe feki, huwezi kuona Kwa vyovyote empty bottle au box ya pombe za gharama mtaani, ajiulize Huwa zinaenda wapi zikishatumika
Ni heri ukiagiza unywe local beer za bei ndogo, ambazo hizi ni ngumu Kwa wahuni kuzitoa copy
Magonjwa ya figo yamekuwa mengi Toka Kwa wale wenye uweZo maana huwa wanakunywa pombe za gharama copy
Ni bar chache mno watauza hizo Hennessy na jack Daniels original
Yaani unaweza kupata chupa ya Hennessy na box yake Kwa elfu 40, hii inakuwa na ladha Ile Ile ni ngumu Kwa mtu wa kawaida kuzitofautisha
Jack Daniels fake ni nyingi mno na zinauzwa elf 30 wakati kawaida hii pombe inauzwa 150k
Mtanganyika akaikuta ipo cheap anachukua tu
Kwasasa usijidanganye kuingia bar na kuagiza pombe za nje na za gharama, maana hapa Nina uhakika 💯 utapewa copy yake, na utaifurahia ila baada ya miaka kadhaa figo zinaanza kufeli
Wale mademu wanaomba zawadi za Hennessy, wahuni huwa wanawaketea copy na mlivo wajinga mnashangila
Empty za hizi pombe Huwa ziatafutwa na zinauzwa ili kwenda kujazwa pombe feki, huwezi kuona Kwa vyovyote empty bottle au box ya pombe za gharama mtaani, ajiulize Huwa zinaenda wapi zikishatumika
Ni heri ukiagiza unywe local beer za bei ndogo, ambazo hizi ni ngumu Kwa wahuni kuzitoa copy
Magonjwa ya figo yamekuwa mengi Toka Kwa wale wenye uweZo maana huwa wanakunywa pombe za gharama copy
Ni bar chache mno watauza hizo Hennessy na jack Daniels original