Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,757
Kampuni ya bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro imetoa udhamini kwa timu mbili maarufu za SIMBA na YANGA...Udhamini huo ni wa miaka mitatuambapo kila mwaka katika kipindi cha miaka mitatu kila timu itapatiwa Tshs.millioni 654 kwa ajili ya uendeshaji wa klabu,mishaara ya wachezaji na viongozi wanaoambatana na timu,usafiri wa timu,vifaa vya mazoezi,matangazo nk