Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
- Thread starter
- #41
now you guys are talking mimi nafikiri tuanzishe kampeni maana watu wakikosa bia kwenye baa moje watahamia kwingine. TBL inabidi waende shule kujifunza jinsi ya kusoma alama za nyakati. wakati wa apartheid umekwisha maana huu ukaburu ndio walikuwa waiitumia kabla ya uhuru wa SA.
inabidi waelewe watanzania wameenda shule watawadanganya hao hao wadogo na wenye baa kujiharibia wenyewe. Nimesikia SBL wakiingia ubia na DIAGEO/EABL products zao zitakuwa Johny Walker zote red/black/blue na green, baileys, vat 69, smirnoff vodca, smirnoff ice, captain morgan, tusker, white cap light, white cap, alvaro, malta guiness na mazagazaga mengine
SBL watatisha maana nasikia pamoja na taifa stars Tusker project fame itakuwa yao, tusker cup yao, malta street dancer yao..kasheshe watu watajinyonga humu!
Sasa SBL mtanikamata vizuri make huko kwenye spirit nako nipo na karibu mna brand zote nipendazo.
Mkuu Kidumempiganaji, vipi kuhusu Mohans? Si ndo muuzaji wa vitu hivi au hana exclusive right?