Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF naomba mnisadia katika hili.
Hivi vyombo vyetu vya habari nashindwa kuvielewa sijui kwa sababu mapato yao madogo(Njaa) au ni kitu gani kinavisumbua. Mara zote nimekuwa nikifatilia nikagundua kuwa wanatumia mfumo wa Njoo karibu tule.
Wakati mwingine nimekuwa nikilinganisha hivi vyombo vyetu na Magazeti ya Udaku mara yale magazeti kila tangazo yanapokea bila kuangalia Madhara kwa Watanzania Mfano kwenye gazeti la udaku unakuata wameandika Mganga anayetibu/kukupa dawa ya mikosi, mapenzi na kurefusha U*me.
Sasa hivi vyombo nya habari namekosa imani navyo maana matanzo mengi wanayotoe hasa hasa ya CCM ni ya kupotosha Watanzania. Kama uamini sikiliza matangazo yanayotolewa au vipindi vinavyorushwa kuelekea uchaguzi. Sasa hapa ndo najiuliza kama hivi vyombo ni mali ya CCM au ccm wana shares humo??
Pia ningeomba waungwana mnijibu haya maswali
1. Hivi vyombo havina Think Tank au wataaramu wa kuchuja matangazo/ Vipindi vyao?? kuliko kupokea pumba na kuzirusha hivyo hivyo.
2.Hivi vyombo vya habari vimegeuka kuwa vya siasa au ndo njaa na kujikomba kwa sisimu
3. Wanaporusha matangazo yao wanaangalia impact kwa Watanzania??
Nawakilisha
Hivi vyombo vyetu vya habari nashindwa kuvielewa sijui kwa sababu mapato yao madogo(Njaa) au ni kitu gani kinavisumbua. Mara zote nimekuwa nikifatilia nikagundua kuwa wanatumia mfumo wa Njoo karibu tule.
Wakati mwingine nimekuwa nikilinganisha hivi vyombo vyetu na Magazeti ya Udaku mara yale magazeti kila tangazo yanapokea bila kuangalia Madhara kwa Watanzania Mfano kwenye gazeti la udaku unakuata wameandika Mganga anayetibu/kukupa dawa ya mikosi, mapenzi na kurefusha U*me.
Sasa hivi vyombo nya habari namekosa imani navyo maana matanzo mengi wanayotoe hasa hasa ya CCM ni ya kupotosha Watanzania. Kama uamini sikiliza matangazo yanayotolewa au vipindi vinavyorushwa kuelekea uchaguzi. Sasa hapa ndo najiuliza kama hivi vyombo ni mali ya CCM au ccm wana shares humo??
Pia ningeomba waungwana mnijibu haya maswali
1. Hivi vyombo havina Think Tank au wataaramu wa kuchuja matangazo/ Vipindi vyao?? kuliko kupokea pumba na kuzirusha hivyo hivyo.
2.Hivi vyombo vya habari vimegeuka kuwa vya siasa au ndo njaa na kujikomba kwa sisimu
3. Wanaporusha matangazo yao wanaangalia impact kwa Watanzania??
Nawakilisha