TBC1 bora muache kabisa kusoma MAGAZETI

African American

Senior Member
Feb 6, 2012
165
62
leo wamesoma magazeti mawili tu ya uhuru na habari leo wakati walikuwa na magazeti yote kisa chadema imeanika uporaji wa mkapa na magazeti yote yameandika. Mjue mmepoteza fedha za umma kununua magazeti halafu hamsomi kama vp muache kabisa program ya magazeti msiige itv na startv
 
Nilikuwa nataka kuanzisha post ya kuhusu utaratibu wa TBC siku hizi, ila naona na ww umewaamkia kwa jingine, naomba kuunganisha.
Hawa jamaa wamepoteza wafanyakazi au mwelekeo?
Taarifa zao za habari zimekua hovyo sana hadi nawaonea huruma na aibu wale wasomaji, hawana mpangilio, picha zinajichanganya, mara hazitokei, graphics zinaptiliza screen, maandishi hayaonekani, mara msomaji haonekani.
Ili mradi kero tu,
jirekebisheni hela zetu zinatuuma. Tunakatwa kodi hadi damu zinatutoka, au mnaajiri ndugu wasiojali ubora wa kazi zenu? Au mmeletewa watu na wazee wenye nchi?
Simple, wekeni delivarables in writing, kila inapotekelezeka au kushindikana toa maksi na akishuka chini mtoe.
Mnatia aibu sana
tunafungua TBC kupata basic news, balanced na sio biased, zinazowakilishwa kwa teknolojia kubwa sana mlio nayo hapo,
 
Nilikuwa nataka kuanzisha post ya kuhusu utaratibu wa TBC siku hizi, ila naona na ww umewaamkia kwa jingine, naomba kuunganisha.
Hawa jamaa wamepoteza wafanyakazi au mwelekeo?
Taarifa zao za habari zimekua hovyo sana hadi nawaonea huruma na aibu wale wasomaji, hawana mpangilio, picha zinajichanganya, mara hazitokei, graphics zinaptiliza screen, maandishi hayaonekani, mara msomaji haonekani.
Ili mradi kero tu,
jirekebisheni hela zetu zinatuuma. Tunakatwa kodi hadi damu zinatutoka, au mnaajiri ndugu wasiojali ubora wa kazi zenu? Au mmeletewa watu na wazee wenye nchi?
Simple, wekeni delivarables in writing, kila inapotekelezeka au kushindikana toa maksi na akishuka chini mtoe.
Mnatia aibu sana
tunafungua TBC kupata basic news, balanced na sio biased, zinazowakilishwa kwa teknolojia kubwa sana mlio nayo hapo,

Hawa watangazaji ni wa kuhurumia, wanafanya kazi kwa presha ya mafisadi...weledi wameweka pembeni kabisa. Mfano huwa namuangalia yule anayeitwa Joe Kihampa anavyofukia habari za magazeti...pathetic!. Nawashauri kama wanataka career, watoke kwenye chombo cha mafisadi wajiunge na vyombo huru wapate kufanya kazi kiueledi...or else watafulia.
 
Nilikuwa nataka kuanzisha post ya kuhusu utaratibu wa TBC siku hizi, ila naona na ww umewaamkia kwa jingine, naomba kuunganisha.
Hawa jamaa wamepoteza wafanyakazi au mwelekeo?
Taarifa zao za habari zimekua hovyo sana hadi nawaonea huruma na aibu wale wasomaji, hawana mpangilio, picha zinajichanganya, mara hazitokei, graphics zinaptiliza screen, maandishi hayaonekani, mara msomaji haonekani.
Ili mradi kero tu,
jirekebisheni hela zetu zinatuuma. Tunakatwa kodi hadi damu zinatutoka, au mnaajiri ndugu wasiojali ubora wa kazi zenu? Au mmeletewa watu na wazee wenye nchi?
Simple, wekeni delivarables in writing, kila inapotekelezeka au kushindikana toa maksi na akishuka chini mtoe.
Mnatia aibu sana
tunafungua TBC kupata basic news, balanced na sio biased, zinazowakilishwa kwa teknolojia kubwa sana mlio nayo hapo,

TBC iliondoka na TIDO kwa sasa hamna kitu pale.
 
leo wamesoma magazeti mawili tu ya uhuru na habari leo wakati walikuwa na magazeti yote kisa chadema imeanika uporaji wa mkapa na magazeti yote yameandika. Mjue mmepoteza fedha za umma kununua magazeti halafu hamsomi kama vp muache kabisa program ya magazeti msiige itv na startv

Dah mkuu umenichekesha sana asubuhi hii lol...hawa jamaa anaboa sana, thats why mimi siku hizi hata taarifa zao za habari huwa siziamini. Ukikubali kufanyakazi tbc ujue kuwa unaua kipaji na taaluma yako.
 
Dah mkuu umenichekesha sana asubuhi hii lol...hawa jamaa anaboa sana, thats why mimi siku hizi hata taarifa zao za habari huwa siziamini. Ukikubali kufanyakazi tbc ujue kuwa unaua kipaji na taaluma yako.

Hata mimi niwashangaa jinsi wanavyohangaika kukwepa magazeti huru yanayowagusa mafisadi. kawa maana tbc na magamba wote wataendlelae kuficha huo uchafu wenu mpaka lini?.

Nyie watangazaji mbona mnadhalilisha taaluma yenu, si muondoke huko ili muwe huru. hapo mlipo mishahara yenu kiduchu na mnakatwa kodi kubwa lakini kusoma ukweli mnaona aibu. mtafia hapo tbc na unafiki wenu na laana za walipo kodi lazima ziwaaangamize tu, hamuezi kukwepa laana za walipa kodi kwani mnafanya huo unafiki huku ukweli mkiujua.........fungukeni akili zenu.
 
Mkuu umesahau kuwa TBC ni kitengo cha propaganda za CCM? Ni kama uhuru na Mzalendo kaka wala usihangaike nao> Nilishawafanyia media boycott so kwenye receiver yangu nilishawafuta!!!!!
 
Bora waache,wanatimiza kwa sababu 2 ipo kwenye ratiba,ni moja kati ya vipindi vinavyo boa hapo tbc mda wa asubh.
 
Leo asubuhi kwanza nilipatwa na mshangao kuona TBC wana Magazeti matatu tu kwenye uchambuzi wao sikujua kwanini?. Lakini wakati akiyasoma picha ya mbele kwenye Gazeti la Habari leo inafanana kabisa na ya mbele kwenye gazeti la Uhuru. Nikawa najiuliza kama yanamilikiwa na mtu mmoja au mpiga picha mmoja kaajiriwa kotekote ama vipi? Lakini baadaye nika tune channell Ten kumbe magazeti mengine yameandikwa Mkapa ndiye aliye muua mwalimu kwa kushinikiza akatibiwe uingereza. Sikuona shida kwa TBC kuyasoma hatakama yameandikwa hivyo. Picha chini ndiyo iliyotoka kwenye magazeti yote mawili.

Desert.jpg
 
Back
Top Bottom