African American
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 165
- 62
leo wamesoma magazeti mawili tu ya uhuru na habari leo wakati walikuwa na magazeti yote kisa chadema imeanika uporaji wa mkapa na magazeti yote yameandika. Mjue mmepoteza fedha za umma kununua magazeti halafu hamsomi kama vp muache kabisa program ya magazeti msiige itv na startv