Hata hivyo kipindi chenyewe mwananchi ambaye haelewi kiingereza alikuwa hafaidiki kwa chochote.
Sijawahi kuelewa hiki kipindi kilikuwa kinalenga kutoa elimu kwa nani haswa?
wanaojua kiingereza ndo tulikuwa tunaelewa
Hata hivyo kipindi chenyewe mwananchi ambaye haelewi kiingereza alikuwa hafaidiki kwa chochote.
Sijawahi kuelewa hiki kipindi kilikuwa kinalenga kutoa elimu kwa nani haswa?
Unatakiwa ujue kiingereza ili uweze kufuatilia hiki kipindi. Kipindi kilikuwa kizuri sana na walikuwa wanabishana kwa hoja. Kwa kweli Simbeye ana uwezo mkubwa sana wa kiingereza. Tusomeshe watoto na lugha ya dunia si Kiswahili bali ni Kiingereza.
Nina miaka 3 sijawahi angalia TBC, kwa kukifuta bado sio issue kwani wanaoangalia TBC ni walewale wa kwao. nilikuwa naangalia TBC wakati ule wa TIDO na hususani walipokuwa wakionyesha EPL.
again & againTBC again..
duh! mkurugenzi wa TBC kumbe kilazanasikia mkurugenzi wa tbc lugha haipandi huwa ana wasiwasi wanamteta..
Safi sana,sijui walikuwa wanamwelimisha nani kwa kutumia lugha ya kigeni. Huyo mzee mwenye midevu kama Waafghanistan acha aijue kachumbari ni mboga au kiungo!?
Kweli ni kigumu!serikali ya ccm ni sikivu sana hichi kipindi kilikuwa kinawaamsha wananchi sana na kuichafua serikali yetu wana mlengo wa chadema.kigumu chama cha mapinduzi
Wewe utakuwa ni target audience ya global publishers. Umezoea kupata habari za udaku.
nasikia mkurugenzi wa tbc lugha haipandi huwa ana wasiwasi wanamteta..
Kuna taarifa kuwa Shirika la utangazaji la Taifa (TBC) limekisimamisha kipindi chake cha This week in perspective kinachoendeshwa na Adam Simbeye bila maelezo ya kueleweka.
Hata hivyo imeelezwa na watu wa ndani kuwa mijadala ya kipindi hicho imekuwa mikali kwa Serikali, hivyo wakubwa hawataki.
Unatakiwa ujue kiingereza ili uweze kufuatilia hiki kipindi. Kipindi kilikuwa kizuri sana na walikuwa wanabishana kwa hoja. Kwa kweli Simbeye ana uwezo mkubwa sana wa kiingereza. Tusomeshe watoto na lugha ya dunia siyo Kiswahili bali ni Kiingereza.