Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 762
TBC ni nn...mtusaidie ss wa huku nyankumbu
tbccm..
Sasa ndo umeandika nini?Kama we ni Mtanganyika usijitoe ufahamu
Saa nyingine ukitumia kiswahili mabishano ya kijinga yanakua mengi ila kama mtu unaelewa kikristo (english) hata kidogo utagundua walikua wanaongea points tu tena zenye msingi, halafu lilikua ni jukwaa zuri la kuwaangalia wasomi wetu...Safi sana,sijui walikuwa wanamwelimisha nani kwa kutumia lugha ya kigeni. Huyo mzee mwenye midevu kama Waafghanistan acha aijue kachumbari ni mboga au kiungo!?
Mkuu, hiki kipindi bado hakijarudi? Yupo wapi mzee wangu Simbeye, nimem-miss sana aiseeKuna taarifa kuwa Shirika la utangazaji la Taifa (TBC) limekisimamisha kipindi chake cha This week in perspective kinachoendeshwa na Adam Simbeye bila maelezo ya kueleweka.
Hata hivyo imeelezwa na watu wa ndani kuwa mijadala ya kipindi hicho imekuwa mikali kwa Serikali, hivyo wakubwa hawataki.
Hao nao hakuna kituo siku hizi.labda AzamSimbeye akipeleke kipindi ITV ,tbccm haina issue pia kipindi kirushwe kwa kiswazi kitapata watu wengi sana,kusikiliza interview kwa kingreza kinatia njaa.
Kipindi kilikuwa kinalenga Mabeberu.Hata hivyo kipindi chenyewe mwananchi ambaye haelewi kiingereza alikuwa hafaidiki kwa chochote.
Sijawahi kuelewa hiki kipindi kilikuwa kinalenga kutoa elimu kwa nani haswa?