TBC mna bifu gani na CHADEMA?

Wasoma magazeti asubuhi ndo kabisa sijui hawaoni headlines za muhimu kwan wanarusha sana habari za Chadema,ovyo kweli!
 
......Leo kwenye kipindi chao kinachorushwa kuanzia saa saba mchana kinachoitwa Dira ya mchana,TBC1 wametangaza habari ambayo naweza sema kuwa ni propaganda chafu zinazotumiwa na CCM kudhoofisha nguvu ya vyama vya upinzania hasa CHADEMA kwenye kinyang'anyiro cha ubunge kule Arumeru Mashariki.

......Akiripoti mwandishi wao amedai kuwa kuna wanachama wa CHADEMA na TLP wamejiunga CCM akiwepo M/kiti wa jumuiya ya wazazi wa TLP..cha kushangaza huyu mwandishi ameonyesha kadi ameonyesha kadi zisizopungua 10 za TLP na KUSHINDWA KABISA KUTUONYESHA KADI ZA WANACHAMA WA CHADEMA..Hii naweza sema ni mchezo mchafu na wakitoto tena unaorushwa na kituo chenye dhamana ya kulinda maslahi ya UMMA bila kulalia upande mmoja...napata taabu kufikiri kuwa mbona huyu mwandishi akutoonyesha kadi za CHADEMA? na mtu atahitwaje mwanachama wa CHADEMA bila kuwa na kadi?

......Ombi langu kwa chumba cha habari TBC1 wanapaswa kujua kuwa habari zao tunazisoma na kuzisikiliza na kuziona..utumbo wanaofanya kuna siku utawagharimu..na niwakati wa hawa waandishi wa hiki kituo cha habari kuzingatia weledi badala ya kuendelea kulalia CCM utadhani kuwa CCM watatawala milele.

Hii ni sawa na kuuliza CCM ina bifu gani na CHADEMA?
 
Ndo maana mapinduzi mengi yanapotokea katika nchi yanaanzia kwenye media. Hawa TBC1 wanatumika kama chanzo cha propaganda za CCM na siku hii nchi ikichukuliwa mabadiliko yatapaswa kuanzia hapo!!!!!!!
 
Personal nashangaa watu wa wanaoangalia TBC1 kwangu marufuku kama mikanda ya X. Ni kinyaa wanasoma habari huku unasikia background wakizungumza kuna kitu hapo?
 
Like any other state-owned media, TBC is bound by the Constitution to act in favour of the present goverment. Bear in mind that the government is being responsible for the corporation's running costs starting from payment of workers' salaries to day-to-day financial needs and one should not expect TBC to repay this by promoting the anti-government side Magw.anda. Chadema should either learn to come to terms with TBC bias or gather funds from supporters to set up their own TV facility that would promote and praise Chadema 24-7.

radhia you are very very wrong. TBC wanatumia kodi za wananchi. hivyo wanatakiwa kutopendelea au kunyanyapaa baadhi ya vyama. sioni mantiki yoyote
 
Hio ni tv ya chama, kwa hio usishangae, we km unataka upate vitu vizuri angalia itv, mi sikuhz nimeipotezea kabisaaaaa.
 
Nimeshatembea sana na kuangalia TV chanel nyingi! Lakini sijawahi ona kituo cha TV kinaonyesha matangazo ya vifo! Mtu alifariki miaka ya 70 halafu unaweka picha yake kwenye TV???? yaani nimeamini hata wafanyabiashara wamesusa kupeleka matangazo yao pale TBC 1:A S 13:
 
Hii ni hatua ya amani ya kuonyesha kupinga njama mbovu za serikali za kuendelea kukandamiza wananchi. TBC ni chombo cha umma kinachotumia fedha za walipa kodi bila kujali ni wanachama wa chama gani. Kama ilivyo kwa vyombo vingine vya habari kama mahakama na polisi, serikali imeendelea kwa muda mrefu kuitumia TBC kukandamiza wasioishabikia CCM

Najua kuwa wanapata ruzuku yao kutoka kwenye kodi zetu hivyo hawalaji hata kama hatuiangalia TV au kusikiliza redio zao. Hata hivyo mafisadi hawa wameendelea kujikusanyia fedha nyingi za kifisadi kwa kulipisha matangazo mbalimbali katika vituo vyao. Natoa wito kwa mtu yeyote ambaye sio mshabiki wa CCM, asitazame wala kupeleka tangazo likatangazwe CCM.

Mbinu ya kususia ushirika wa namna yeyote kwa mafisadi imekuwa ikitumika katika nchi nyingi na sehemu nyingi imesaidia sana katika kuwaadhibu mafisadi.
 
Hii ni hatua ya amani ya kuonyesha kupinga njama mbovu za serikali za kuendelea kukandamiza wananchi. TBC ni chombo cha umma kinachotumia fedha za walipa kodi bila kujali ni wanachama wa chama gani. Kama ilivyo kwa vyombo vingine vya habari kama mahakama na polisi, serikali imeendelea kwa muda mrefu kuitumia TBC kukandamiza wasioishabikia CCM

Najua kuwa wanapata ruzuku yao kutoka kwenye kodi zetu hivyo hawalaji hata kama hatuiangalia TV au kusikiliza redio zao. Hata hivyo mafisadi hawa wameendelea kujikusanyia fedha nyingi za kifisadi kwa kulipisha matangazo mbalimbali katika vituo vyao. Natoa wito kwa mtu yeyote ambaye sio mshabiki wa CCM, asitazame wala kupeleka tangazo likatangazwe CCM.

Mbinu ya kususia ushirika wa namna yeyote kwa mafisadi imekuwa ikitumika katika nchi nyingi na sehemu nyingi imesaidia sana katika kuwaadhibu mafisadi.

Mbona husomeki? sababu hasa ya msingi kufanya hivyo nini?
 
Hii ni hatua ya amani ya kuonyesha kupinga njama mbovu za serikali za kuendelea kukandamiza wananchi. TBC ni chombo cha umma kinachotumia fedha za walipa kodi bila kujali ni wanachama wa chama gani. Kama ilivyo kwa vyombo vingine vya habari kama mahakama na polisi, serikali imeendelea kwa muda mrefu kuitumia TBC kukandamiza wasioishabikia CCM

Najua kuwa wanapata ruzuku yao kutoka kwenye kodi zetu hivyo hawalaji hata kama hatuiangalia TV au kusikiliza redio zao. Hata hivyo mafisadi hawa wameendelea kujikusanyia fedha nyingi za kifisadi kwa kulipisha matangazo mbalimbali katika vituo vyao. Natoa wito kwa mtu yeyote ambaye sio mshabiki wa CCM, asitazame wala kupeleka tangazo likatangazwe CCM.

Mbinu ya kususia ushirika wa namna yeyote kwa mafisadi imekuwa ikitumika katika nchi nyingi na sehemu nyingi imesaidia sana katika kuwaadhibu mafisadi.

Acha kutumika kijana , na unatumika vibaya sana kiasi cha kwamba unakosa hata thamani ya utu. Ungesusia wwna familia yako ingekuwa poa zaidi

 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom