Earth on heaven
Member
- Jun 7, 2013
- 82
- 34
Je hii kweli ni haki maana vituo vingine vimetangaza ila TELEVISION YA TAIFA imeona sio habari!!
This is not fair,
This is not fair,
Hizi zingine porojo tu na uzushi.
Ni vyema kutorusha hewani habari za mtu mzinifu na mwenye kuleta maafa yasababishwayo na uzinzi
Umeshamaliza investigation? Ita press conference basi utuambie tujifunze na sie.
Mjifunze uzinifu na kudhulumu ma boy friends zenu nyumba walizowajengea wakiwa darfur au!
Je hii kweli ni haki maana vituo vingine vimetangaza ila TELEVISION YA TAIFA imeona sio habari!!
This is not fair,
Ni vyema kutorusha hewani habari za mtu mzinifu na mwenye kuleta maafa yasababishwayo na uzinzi
Kawaida sana hii sio Ufo tu kuna watu tele
wanamatatizo na hawaonekani kwenye TV.
unasema?
Unajichoresha tu hapa, watu wenye akili tunakuona falla tu.
Kawaida sana hii sio Ufo tu kuna watu tele
wanamatatizo na hawaonekani kwenye TV.