Azam TV kwanini mmeamua kipandisha bei ya ving'amuzi vyenu?

astranaut

JF-Expert Member
Jul 30, 2018
1,276
1,021
Kwa yeyote anaefaham mantiki ya azam kulazimisha offer ya miezi 3 huku ukiilipia pale unaponunua king'amuzi.

Zamani nadhani kwa sehemu nyingi vingamuzi vilikua vyauzwa kwa bei isiyozidi Tsh.150,000 lakini saivi ving'amuzi vyenu vyauzwa mpaka 250,000 huko si kuwaumiza wananchi na wateja wenu.

Pia badala mshushe bei ili kila mwananchi aweze kuafford na ili kutanua wigo wa mauzo ya vifurushi na wateja waongezeke ndo kwanza bei inapaa,huku mkijificha kwenye kivuli cha offer.

Mmenidisappoint sana baada ya kujichanga kwa miaka kadhaa nikaona leo sifanyi kosa tena lazima nilale nacho,nimestaajab baada ya kufika dukani na kuambiwa ni 245,000 wakati huo mi nimeenda na kiasi ambacho ni bei ya zamani 140000 hii so fare at a kidogo au ndo kusema saivi brand yenu inazidi kupanda thamani.
 
Leo nimeshangaa kuambiwa kinauzwa 210k wakati niliwahi nununua kwa 140k, wanalazimisha vya antenna angali wengine wanaona havina mvuto. Shame on AzamTv
 
245k Bora ninunue ndama wa kitulo😂😂😂
Hii weka DSTV explora ufufahie maisha.

Ting, Startimes, Continental, Azam hata kwa bunduki siwezi kununua hivyo vidude vyao.

Local ni local tu, poor customer services, machaneli yasiyo na maana ya kihindi na kiarabu na kichina yasiyo na maana yoyote.

Kua na hivyo ving'amuzi, bora ninunue home wifi rooter niwe naangalia internet tv.
 
Azam ni miongoni mwa ving'amuz famba kabisa kuwahi kutokea, channel zinaganda ganda hakuna vipindi vya maana

Hiyo ligi kuu bara kuna mechi kama 6 tu za kuangalia Yanga vs Simba, Yanga vs Azam, Simba vs Yanga, Simba vs Azam, Azam vs Yanga na Azam vs Simba

Hivi kweli unaweza kukaa kuangalia mechi ya Gwambina vs Mbeya City kwa Tv? mechi hizi hazina mvuto viwanja vibovu mpira wa kuruka ruka tu

Mm wacha nkomae na DSTV tu kwanza siku hakuna mpira naweza hata kuangalia tamthilia za wakenya kenye Maisha Magic East wao kidogo wapo vzr ukilinganisha na wabongo hawa wa Sinema Zetu wa Azam kina Lingo na Mkojani
 
Itakua walitaka kupiga,mbona wenyewe wanatangaza bei elekezi ni 145000 dishi, antenna 99000.
 
Itakua walitaka kupiga,mbona wenyewe wanatangaza bei elekezi ni 145000 dishi, antenna 99000.
Hapana ni kweli kabisa inaonekana huo ni muongozo mpya kuwa kwa sasa anayetaka kununua alazimishwe kulipia na huduma ya miezi 3!!kwani hata maeneo mengi ya dar kwa sasa wanauza 220, 000!!
 
Hii weka DSTV explora ufufahie maisha.

Ting, Startimes, Continental, Azam hata kwa bunduki siwezi kununua hivyo vidude vyao.

Local ni local tu, poor customer services, machaneli yasiyo na maana ya kihindi na kiarabu na kichina yasiyo na maana yoyote.

Kua na hivyo ving'amuzi, bora ninunue home wifi rooter niwe naangalia internet tv.
Mkuu sio kwamba dstv watu wanaikimbia kwa kuogopa bei ya decoder/dish bali ni kwenye malipo ya kila mwezi!!
 
Azam ni miongoni mwa ving'amuz famba kabisa kuwahi kutokea, channel zinaganda ganda hakuna vipindi vya maana

Hiyo ligi kuu bara kuna mechi kama 6 tu za kuangalia Yanga vs Simba, Yanga vs Azam, Simba vs Yanga, Simba vs Azam, Azam vs Yanga na Azam vs Simba

Hivi kweli unaweza kukaa kuangalia mechi ya Gwambina vs Mbeya City kwa Tv? mechi hizi hazina mvuto viwanja vibovu mpira wa kuruka ruka tu

Mm wacha nkomae na DSTV tu kwanza siku hakuna mpira naweza hata kuangalia tamthilia za wakenya kenye Maisha Magic East wao kidogo wapo vzr ukilinganisha na wabongo hawa wa Sinema Zetu wa Azam kina Lingo na Mkojani


😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Njorooo wa Ubaaaa😂😂😂😂😂

Dstv mbaki milele aisee huo uchafu ulioandika mtoa mada mkomae nao nyie wagumu😂😂😂

Mi nlishamiliki azam nkaona ni upuuuz iz beta tu bi diferent moa zan tu bi semu withi pua maind.

Hiyo inacost mzee!!!

Dstv
 
Back
Top Bottom