TBC imemuita nani hamnazo?

Huyo Ni Jiwe kabisa.
 
Magufuli
 
Kuna ule waraka wa maaskofu wa kutembea peku peku juu ya mbigili ndio watakuwa wamelenga hapo...kumaliza mchezo wangemuweka na mwenza wa hamnazo akiwatangazia ndugu, jamaa, na marafiki kuwa hamnazo alikufa kwa kunaswa na umeme alipokuwa akienda kulima !
 
Leo wanamuita hamnazo baada ya kumsifia kote!!? Kwel hilo shamba lilikuwa na mazao ya kinafiki sana
 
Madaraka ya kutembea na msafara wa rais umemfanya awe na kiburi cha hali ya juu kabisa
Mkuu kwa hili la Kiburi chake Shabaan Kisu kwakuwa yuko na Rais hata ingekuwa ni Mimi GENTAMYCINE au Wewe ( Ezekiel Mbaga ) tungekuwa na hiyo nafasi tungekuwa nacho pengine kuliko Yeye.
 
hamnazo ni mwendazake JIWE
 
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake
Mwendazake

Haya nimesema sasa amueni tuone.
 
yeyote yule asiye chukua tahadhari kuhusu ugonjwa wa corona.

asiye vaa barakoa, asiye nawa mikono ndiye hamnazo.
 
Kumbe tbc hadi leo hii bado ina watu wanaifuatilia🤔🤔🤔
 
yeyote yule asiye chukua tahadhari kuhusu ugonjwa wa corona.

asiye vaa barakoa, asiye nawa mikono ndiye hamnazo.
 
Duh! Aisee si mchezo ngoja tusubiri wahusika watasema labda mwendazake
Jana sijui ni kwa bahati mbaya au kwa makusudi wakati watangazaji wanaongea wakimsubiri mama afike kuzindua tank la maji, mtangazaji mmoja wa kiume alitumia hili neno "mwendazake" wakati anaelezea miradi ya JPM
 
Kama Mtangazaji wa TBC ametunga hadith ya kipuuzi hivi basi kuna shida kubwa. Yaani mtu anachomwa na mbigili matakoni hadi anakufa? Mbigili za wapi hizo? Akasimulie watoto wenzie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…