ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Clement Msahana ni kama ameshindwa kazi. Nafuatilia habari za TBC leo tarehe 13.03.12 saa mbili usiku, kuna habari ya wakazi wa Kibaha kurejea katika kijiji chao cha asili cHORUMA..lakini habari hiyo imeingiliana na masauti na mahabari mengine kibao..hakuna hata kumradhi wametoa kwa usumbufu huo..