kb52
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 336
- 109
- Thread starter
- #41
Asante kaka Pius. Vipi wakati Ayubu anateseka kama tunavyosoma biblia...watoto wake...mifugo yake..wake zake...do u think kipindi chote hicho hakua na imani??..na kwamba alikua hamwombi Mungu??.....Kiufupi najitahidi kusali..namwamini Mungu sana...na ninajua bila yeye mimi si kitu. Kuna vitu vingi vigumu nimepitia but bila yeye nisingeandika hata hii thread. Naweza kusema Muda tu haujafika. Hata Ayubu muda wake ulivyofika...alipewa na Mungu vitu vingi vizuri zaidi ya alivyokuanavyo awali. God's time is the best.