nenda pale st peters Dar karibu na bandarini wanauza, wanaita MAJI YA BARAKA.Natafuta annoiting water ya TB Joshua wadau naomba mnisaidie kwa hili....
Hey anointing water kwa sasa haiuzwi na ukiuziwa ni ujinga wako na ukumbuke ujinga NI dhambi.upako hauuzwiNatafuta annoiting water ya TB Joshua wadau naomba mnisaidie kwa hili....
Kuna watu wanapigwa halafu kuna watu wanajipigishaAisee
Acha tu aisee,Kuna watu wanapigwa halafu kuna watu wanajipigisha
Hayatakusaidia chochote kijana, yangekuwa na faida kwa watu yangemsaidia hata yeye mwenyewe.Natafuta annoiting water ya TB Joshua wadau naomba mnisaidie kwa hili....
Hosea 4:6.Hey anointing water kwa sasa haiuzwi na ukiuziwa ni ujinga wako na ukumbuke ujinga NI dhambi.upako hauuzwi
Hii anointing water mpya inapatikana ila kwa partners tu.kama unaweza safiri nenda scoan kuna meeting kila weekend unapewa bure.
Kama una mtu unajua anayo basi mulmbe akuombee au akupunguzie kwenye chupa ya maji hata tone.
Ukiuziwa usitarajie chochote