Chimba kisima cha maji hatua kwa hatua.

Chimba kisima cha maji hatua kwa hatua.

EVIGT

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2014
Posts
591
Reaction score
563
Habari Jf ,

Kwa wale wenye malengo ya kupata suluhisho la kudumu kwenye upatikanaji wa maji , njia pekee ni kutumia chanzo cha maji kutoka kwenye miamba chini ya ardhi,

Changamato mchakato mzima ni gharama kuanzia kufanya survey hadi kuchimba na kusambaza maji.

Sasa basi kwa uzoefu nilionao kwenye shughuri hizi kwa zaidi ya miaka 10, watu wengi wanahitaji hii huduma ila kuingiza pesa ya mara moja imekuwa ni changamoto kwao.

Sasa basi naweza kusaidia kwenye hili ukaweza kuchimba kwa kujikusanya kama zinavyojengwa nyumba.

Hatua ya kwanza kwenye uchimbaji lazima ifanyike underground water survey,

Underground water survey ni upimaji unaotambua location au center ya maji kwenye miamba huko chini ya ardhi (water table) kwa kutumia mashine maalumu designed kwa kazi hii, mbali na hilo pia kuna parameters zingine zinaonyesha zinazoweza kusaidia kulahisisha kazi ya uchimbaji.

Sasa baada ya kufanyika zoezi hilo la survey, ndio inaweza kuandaliwa gharama nzima ya project yako na hapa ndio kimbembe kinaanza,

Mfano unakuta survey imesoma maji yapo mita 100, unajikuta unatakiwa uwe na zaidi ya 15 M kwa mara moja, wachache wanamudu wengi wanaingia mitini milele.

Sasa hapa ndio nataka nitoe mbinu kwa watanzania wenzangu, kama utapenda kufanya kazi na mimi na huna uwezo wa kupata pesa kwa mara moja, nitakuandika materials ambazo unaweza kuanza kuzinunua kidogo kidogo, ukikamilisha naleta mashine tunachimba tu na kufanya installations ya hizo materials ulizokusanya.

Nawakalibisha wote Bara na visiwani kote nimefanya kazi na kazi zinaendelea, wenye project za kilimo, ufugaji, ujenzi, domestic, n.k wote karibuni.

Wasiliana nami, team ipo yakutosha kujigawa kufika popote kukuhudumia.
WhatsApp 24/7
+255779 380009
+255638 350039

܎
 

Attachments

  • FB_VID_5424448010914782467.mp4
    554.1 KB
  • FB_VID_3818250069562276498.mp4
    6.6 MB
  • FB_VID_6220484193136128587.mp4
    10.6 MB
  • 1781584367069.jpg
    1781584367069.jpg
    491.2 KB · Views: 11
Hongera Sana Kwa Majukumu
Sasa Mfano Uliotoa Maji Yapo Meters 100 Tuwekee Hapa Mchanganuo Wa Gharama
Survey Tzs Ngapi
Kuchimba Tzs Ngapi
Na Mahitaji Yote Mpaka Maji Kuanza Kutoka
 
Kwaiyo nikiaandaa hayo material hela yako ya kuchimba na kufanya installation shingap kwa eneo la pwani mlandizi
 
Hongera Sana Kwa Majukumu
Sasa Mfano Uliotoa Maji Yapo Meters 100 Tuwekee Hapa Mchanganuo Wa Gharama
Survey Tzs Ngapi
Kuchimba Tzs Ngapi
Na Mahitaji Yote Mpaka Maji Kuanza Kutoka
Kennedy ipo hivi gharama za survey itategemea site ipo wapi, hivyohivyo na uchimbaji itategemea location ya site, ila survey ndio inaleta majibu yote, so hapa unaweza kuniambia location, i mean mkoa then harakaharaka tutajua hizo bei ya point survey na drilling per meter
 
Kennedy ipo hivi gharama za survey itategemea site ipo wapi, hivyohivyo na uchimbaji itategemea location ya site, ila survey ndio inaleta majibu yote, so hapa unaweza kuniambia location, i mean mkoa then harakaharaka tutajua hizo bei ya point survey na drilling per meter
Morogoro
Kingolwira
 
Kwaiyo nikiaandaa hayo material hela yako ya kuchimba na kufanya installation shingap kwa eneo la pwani mlandizi
Sasa mwaibile ipo hivi, bei ya survey kwa mkoa wa pwani ni 300k na kuchimba kwa mita moja ni 100k, ila hii nimekwambia ni total ikiwa material tunanunua sisi, ila kama materials utanunua wewe hiyo bei inashuka hadi 60k per meter + installation,
Can you see huge different?
 
Kazi inaendelea
 

Attachments

  • 1781496791848.jpg
    1781496791848.jpg
    156.6 KB · Views: 10

Similar Discussions

Back
Top Bottom